Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee tutafanyaje tena inabidi tuwavumilie tuu kama wanavotuvumilia sisi, kumbuka wao ndio mama zetu na Dada zetu😅😅
😅😅😅 Hapana dear usiwaze hivyo Wala haihusiani na penzi letu hapa nimewazungumzia wale wa uswahilini jf hakuna wadada wa hivi. Stay safe mamy.Ko umeamua kuniazishia uzi Superbug
Kuna moja alikuwa anakuja kila nikipiga akitaka kurudi kwao nampiga na wekundu 5, lakini mwisho wa siku akasema mimi bahiri. Nikapiga chiniYaani hii unaeza kuwa unamkusanyia mtu 50k weekly. Bado hamjaenda kupiga masanga na kitimoto. Kweli tumeubwa mateso!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Namba tatu na sita umerudia kaka[emoji28][emoji28][emoji28]
Inaonekana umekutana nayo sana hio
Jamani mimi nimemnukuu mtoa mada.. Reply yangu mimi iko chiniMkuu mbona maneno makali sana na we n miongon mwa mababu wa busara humu
[emoji2]Mzee we vinyeooo...
Oya nahitaji camshaft sensor kaka, ya xtrail t30, engine yd22ddti
Gonga LikeNimekutana nayo muda huu sasa hivi
Tell them my daughterWanaume tafuteni hela acheni kulalamika mapenzi ni kitu expensive sana, Sasa nyie mnapenda kitonga tu Yani buku tano unaaumia wakati wanaume wenzenu wanahonga Hadi magari, viwanja na hawalalamiki.
Umetokea wapiUnataka kula kinyesi ukidhani unamkomoa kumbe Wengine ndio starehe yao[emoji848][emoji2827]
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Umetokea wapi
Wacha weeee sasa 50/50 ipo wapi imnayoililia kila siku au inachagua baadhi vitu na maeneo, sometimes hawa wanawake wana harakati hawajui wanacho kipigania.Wanaume tafuteni hela acheni kulalamika mapenzi ni kitu expensive sana, Sasa nyie mnapenda kitonga tu Yani buku tano unaaumia wakati wanaume wenzenu wanahonga Hadi magari, viwanja na hawalalamiki.
Unataka kula kinyesi ukidhani unamkomoa kumbe Wengine ndio starehe yao[emoji848][emoji2827]
AiseeKwakweli nawachukia Sana wanawake wapiga mizinga Yani unamtongoza Sasa hivi baada ya dk moja anaaanza kuomba hela ya kula au Kama Ana mtoto (singo maza) itaanza kusikia kesho nampeleka mtoto hospital Yani wanawake mnamaujinga mengi Sana mpaka mnatia kinyaaa. Acheni kuwa ombaomba uzeni hata ndizi mtaani.
Naomba hela ya kula.
Naomba hela nikasuke.
Mwanangu anaumwa.
Naomba hela ya mchezo.
Yani MNABOA Sana Sana hamjui tu. Mi nashauri wanaume wenzangu mademu wa dizaini hii unamla na tg ili kuwe na win win situation.
Superbug