Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Acha upotoshaji, kililochokuwepo katika House of Lords ni kamati ya Rufaa ambayo ilikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi mbalimbali na pia watu kukata rufaa.

Kilichotolewa katika house of Lords ni hiyo kamati ya rufaa na ikaundwa mahakama kuu ya Uingereza ambayo ndio mahakama ya rufaa pia. Huku chini mahakama nyingine zilikuwa zinajitegemea kama kawaid.

Jambo lingine unalopaswa kufahamu Uingereza ina mfumo wa parliamentary sovereignty ambapo bunge linakuwa na mamlaka makubwa zaidi katika sheria, kanuni na miongozo ya nchi kuliko Mahakama na Serikali.
 

Ina maana na Malkia Elizabeth alikuwa mfalme? Duh! Anyway endelea kuwadharau
 
Maisha ambayo yana usalama na uhakika wa kesho yangu kifedha
Una uhakika gani wa kesho wa masikini uliejaa shida lukuki.

Watoto wako ukute wanasoma shule za kayumba. Huna KAZI. Umepanga. Mwenye akaunti yako huna hata milion 50.

Masikini popote duniani Hana uhakika WA kesho yake
 
Tena kama marekani mnachagua alafu kuna kikundi cha watu wasiozidi 300 wanaenda kuchagua upya tena
 
Usiweweseke!
Baada ya maziko na ujio au kupanda cheo kwa Prince. Dunia inaenda kubadilika. Monarch ina 10-15yrs max. Usiweweseke wanaenda kuondoa imperialism.
Na sisi Waafrika tungo' ke COMMONWEALTH....Jumuiya ya Waliotawaliwa na kukubali kuendelea kutawaliwa, tungo'ke.
 
Tena kama marekani mnachagua alafu kuna kikundi cha watu wasiozidi 300 wanaenda kuchagua upya tena
Crimea: Ukiondoa Electroral College, basi Marekani ingetawaliwa na Candidates toka Los Angeles, New York, Chicago, na Texas, tu! Maana ndio wenye population kubwa. Hii ina maana States kama Iowa, New Hampshire na kama hizo ndogo ndogo Mgombea urais mtarajiwa hata asingezitembelea, maana hazina uzito! Electroral College ina fanya ziwe na sauti.
Mfano mzuri ni Kenya, Wakikuyu, Kalenjin na Luo ni lazima watakuwa wanatoa Rais! Makabila mawili yaki gang up basi makabila mengine madogo, hayana sauti! Lazima mgombea Kenya atoke Kabila mojawapo kubwa! Ndio maana umeona vyama vikubwa Kenya lazima Mkikuyu, Luo au Kalenjin awepo! Ni itaendelea kuwa hivyo.Lazima wafanye utaratibu wa kurekebisha hilo. Makabila madogo kila siku yatakuwa ni wasindikizaji.

Sisemi kuwa system hii haina mapungufu, inayo sana. ( labda siku nyingine tutazungumzia hilo) Lakini kuzifanya States zote zijione zina nafasi katika kutafuta kiongozi mfumo huu unafaa Marekani.

ingawa lazima tukubali kila mfumo wowote wa utawala unategemea sana jadi na historia ya taifa hilo! Kumbuka Marekani ina miaka mingapi toka iwe taifa, kuna proposals nyingi zimejaribu kutaka kuundoa au kuurekebisha mfumo huu, kila pendekezo linaonekana linakuja na mapungufu yake, na litashindwa kuleta mshikamano wa utaifa.
 
Lunatoc:
Hata kujifunza pia! Wengi hawajui pia hata hii Westminster Modal ya serikali zetu ni copy ya Uingereza, na kubambikiza ya kwetu.
Huo mfumo ambao tunajaribu kuukejeli ndio umepaisha uingereza toka 1700 ikatawala sehemu kubwa ya dunia.
 
Kwahiyo? Wanajeshi wangapi wanauawa vitani mbona familia zao hazipewi hiiyo hongo ya uongozi wa kudumu?
We takataka nani kuambiwa wamepewa? Hao wamepigana kuchukua eneo kwa jeshi lao wenyewe

Sawa na leo joseph konyi aingie madarakan utasema kuna wanajeshi bla bla, mtu amepigana akatwaa eneo hajapewa ni mali uake binafsi na kama unalitaka na ww kapigani

Ni kama saudia, wamepigana wakatwaa eneo likawa nchi wakiita jina la familia , Saudia
 
Mkuu uko vizuri[emoji3578]
 
Kwani hapa Tanzania watoto wa viongozi wakuu huwaoni kwenye nafasi kubwa za uongozi wa nchi. Unadhani we kapuku hapa Nchini ni rahisi mwanao kuwa waziri ? Yote sawa tu. Bora waingereza hawataki unafiki.
 
Unauelewa mpana sana. Asante sana.
 
Bwahahaha! Humu JF nzima hakuna mtu anayenipenda kama wewe aisee! Unajuwa mabandiko yako nilianza kuyapuuza tangu siku uliposhangaa UDSM kutoa shahada ya utabibu. Nikafahamu kabisa una shida kubwa....

Sasa leo ndiyo nikasema nisome unachoandika walau siku ile ulikuwa umepitiwa. Nilichokutana nacho kimenifanya nicheke, lakini kikubwa zaidi ni kiwango ambacho uko Obsessed na mimi.

Mara ya kwanza nilihisi labda wewe ni mwanamke, maana nimefuatilia na kushangaa kwamba kila nilichowahi kuandika humu JF lazima ulijibu. Kukusoma vizuri nikatambua kumbe wewe ni mwanaume. Nimeshangaa sana.....
 
Poor Malcom
House of Lords imebaki kama pambo tu, hata mishahara hawalipwi katika hilo bunge.
Aisee, this is more than an obsession. Ndani ya uzi huu tu, umenijibu mara 7. Halafu unachojibu ni kama unalazimisha niongee na wewe. Dude are you straight ???
 
tofauti ya utawala wa kifalme na utawala wa CCM ni kwamba utawala wa kifalme haupotezi gharama za uchaguzi
 
Unawadharau Waingereza kwa kuuenzi ufalme huku wao wanaouenzi ni matajiri na hawana shida ndogo ndogo. Ila wewe unayewadharau umejaa umaskini kwa wazazi wako, ndugu zako na nchi yako. Pumbavu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…