Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 529
- 1,150
Naifikiria sana hii kitu pale mtu anapoachwa wiki nzima hajazikwa, huwa inakuwaga huzuni mara mbili kwa wafiwa.
Solution ya hii kitu nimegundua ni mtu kuzikwa fasta fasta na sio kuchelewa zaidi ya siku mbili.
Mwaka jana kwenye family yangu kuna mtu aliumwa kinoma, nikajisemea hapa akifa nazika kesho. Ila nashukuru Mungu alimponya.
Kongole waislamu, hapo tu ndo nawakubaligi chap chap kijeshi.
Ramadhani Kareem!
Solution ya hii kitu nimegundua ni mtu kuzikwa fasta fasta na sio kuchelewa zaidi ya siku mbili.
Mwaka jana kwenye family yangu kuna mtu aliumwa kinoma, nikajisemea hapa akifa nazika kesho. Ila nashukuru Mungu alimponya.
Kongole waislamu, hapo tu ndo nawakubaligi chap chap kijeshi.
Ramadhani Kareem!