Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Njoo Pm upewe namba ya mrembo mmoja wa hukoNiko huku kwa makonda, unataka uwe mwalimu wangu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Pm upewe namba ya mrembo mmoja wa hukoNiko huku kwa makonda, unataka uwe mwalimu wangu mkuu
Kuna muda unaiona pisi afu unajikuta nafsi inakusuta kabisa kumuacha akupite hivihivi.
Hivyo unaamua kumbariki tuu kisha ukishaachana nae unaendelea na mambo yako.
Yaani unahamishia mawazo kwenye kuusaka mkwanja.
Naam,ukishageuka unayatema chap maana ni sumuKwamba mate uliyokuwa unammezea uliyatema😅😅
Daaah mambo ni mengi sanaShalom,
Naomba wadau wa kuchukua namba za viumbe pendwa mnaanzisha project ila finishing mnashindwa tatizo lenu nini hasa?
Wazee wa incomplete projects Maneno mengi vitendo na finishing zero.
Karibu mseme changamoto zenu tuwasaidie.
Nawasubiria kwenye comments
Wadiz
Daaah, Distancemimi mwenyewe ni walewale😅😅😅
nimedokoa namba FB ya hii ya pisi kali ya 2000
pisi ya kinyakyusa mixer mdigo
mtoto anaishi Dar...
nimeongea nae anaeleweka kiaina ila nahis ntapigwa mbele ya safari😅😅😅
Long distance relationship is not healthyView attachment 2996376
nitakomaa nae nione itakuaje..Daaah, Distance