mimi mwenyewe ni walewale😅😅😅
nimedokoa namba FB ya hii ya pisi kali ya 2000
pisi ya kinyakyusa mixer mdigo
mtoto anaishi Dar...
nimeongea nae anaeleweka kiaina ila nahis ntapigwa mbele ya safari😅😅😅
Long distance relationship is not healthy
View attachment 2996376