Nawalaani wanaume wote waliodiriki na wanaoendelea kuwafanya kinyume na maumbile vijana wa kiume

SI vijana wa kiume pekee, hata wa kike..!! Unamfanyaje mwenzio nyuma.!!??
 
Inaumiza sana dada

Halafu majitu ya hivi ipo mingi tuu.

Ukiyaona utadhani wanaume kumbe na mashetani wenye miili ya kiume wanaoishi duniani

Halafu utaskia wanavyopambana kuprotect watoto wao wakati wa wengine wanawageza
Sasa waendelee kufanya ila wajue watoto wao watafanywa hadi wakose uzazi... siwapendi hawa mafirauni basi tuu🙄🙄
 
Wanaona raha kuharibu wanaume wenzao Hawajui kuwa karma huwa haikosei njia
 
2 Wakorinto 6:9 na kuendelea

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mwenzio hadi tunzo kapewa na JF cocastic unamsikia huyu mkuu emu toa neno akusikie maana daah, mimi sina cha kuongezea Ila siungi mkono hilo jambo nipo upande wa UG ingawa wamelambwa 1-0 na TZ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Tuzo yangu inahusu nn na hili?? Mie sina neno, kila mtu ataubeba msalaba wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…