Huwa upo positive sana mkuu😊nakufuatiliaga kimya kimya kwenye comments zako hongera 👊🏿Mwanaume anayemzalisha mdada kisha kumtelekeza mtoto na Mama yake hii haikubaliki,usimpomlea mwanao unategemea nani akulelee?
Mwanaume lazima ukubali majukumu yako na kupambana ili kuyatimiza majukumu hayo na huo ndio Uanaume.
Asante sana,hata mimi hua nakufuatilia kwenye comments zako, upo vizuri,Huwa upo positive sana mkuu😊nakufuatiliaga kimya kimya kwenye comments zako hongera 👊🏿
Utawajua tu. Jitahidini kuwa na akili.sio kweli …… hii story haijakamilika kama upande wa pili hawajasema chochote
pesa sio kila kitutafuta ela ww
Asante sana T.IAsante sana,hata mimi hua nakufuatilia kwenye comments zako, upo vizuri,
Big up.
Hela ina uhisiano gani hapo!!??tafuta ela ww
Mbna Kama n mm huyo aliyetukanwa mleta Uzi nalushukuru San kwa hili la kubeba hili swal mnk mm pia Ni muhanga mtot nishampoteza na amejazwa ujinga kichwaniHabari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.
Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana
Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli
Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi
Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia
Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia
Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu
Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.
Niwatakie weekend njema
Mm sijateleleza aise nilihudumia kila kitu lkn siku moja nikaona acha nimtafutie huyu bint boardy school ili aweze kusoma hapo ndio kasheshe limeanza nilionekana nataka kumchukuwa mtto Mara nataka nikaoe ili mtot alelewe na mam wa kambo aise mpk sas HV yule mtot nilinyangwanywa rasmNyie wanaume wa siku hizi ni vere simple mtu anazalisha afu anatelekeza mtoto alelewe na bibi ake
Mnaona vere simple nyie kulewa au kuishi vizuri ilihali wanenu wanastruggle
Hivi unajua kuwa haupo financially stable nguvu ya kutomber mpaka umjaze mtu mimba mnatoaga wapi?
Matokeo yake mwanamama anashindwa ….. saikolojia yake inaelemewa anakosa maneno ya kukupa anaona matusi ndio yanakufaa
Mi sijawai ona mkaka anaehudumia vizur mwanae akatukanwa au kukashifiwa na mzazi mwenziee labda for minor thing
By the way …… tuishi humo
Uyo alotukanwa juzi ,katukanwa kisa nini??Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.
Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana
Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli
Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi
Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia
Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia
Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu
Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.
Niwatakie weekend njema
Ela ndiyo ninitafuta ela ww
😀😀 Mwandiko wa gaidi huu!Ni kweli lazima tuonekane hatuna akili,umenizalisha kunioa umekataa bado unataka mawasiliano nami ya nini sasa.Mi ukishasema hunihitaji futa kumbukumbu zote zinihusuzo.Damn! Tunaishi Mara moja ......ukiniacha naachika kweli!
Huyo aliyetukanwa ni wewe usisingizie rafiki zakoHabari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.
Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli
Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi
Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia
Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia
Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu
Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.
Niwatakie weekend njema
Mwanamke asiye na akili hata akizaa ndani ya ndoa ni yale yale tu.
Big upKuoa au kuolewa na mtu asiye na akili mi majanga makubwa. Neno akili halimaanishi za kufaulu mitihani ya shule/chuo.
1-Akili zako zinakutuma kila mtu ana matatizo kama yako?
2-Kulialia kwa mwanamke mara zote ni kutokuwa na akili tu au hatunzwi ipasavyo?
3-Hayo maneno umeyatoa wapi wakati umeeleza kuwa huwa hawaongei?
4-Acha kuwatungia watu uongo kwamba wana matatizo kumbe ni weye tu umeshiba uji wa ulezi ukaanza kufikiria visivyokuwepo.
Waambie rafiki zako watoe pesa za kuwahudumia watoto na mama zao waone kama watatukanwa tena.Ukiwa na pesa mwanamke anaanzaje kukutudi? Huo ujasiri wa kuitukana Benki/ATM anautoa wapi
InawezekanaHuyo aliyetukanwa ni wewe usisingizie rafiki zako
Kosa ni lenu unaniona mwanaume sielweki mzushi sina hela na ungaunga tu kukuhonga kazi halafu unajibebesha mimba utadhani hufaamu mzunguko wako lazima baharia akimbieNyie wanaume wa siku hizi ni vere simple mtu anazalisha afu anatelekeza mtoto alelewe na bibi ake
Mnaona vere simple nyie kulewa au kuishi vizuri ilihali wanenu wanastruggle
Hivi unajua kuwa haupo financially stable nguvu ya kutomber mpaka umjaze mtu mimba mnatoaga wapi?
Matokeo yake mwanamama anashindwa ….. saikolojia yake inaelemewa anakosa maneno ya kukupa anaona matusi ndio yanakufaa
Mi sijawai ona mkaka anaehudumia vizur mwanae akatukanwa au kukashifiwa na mzazi mwenziee labda for minor thing
By the way …… tuishi humo