Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

Hakika karne hii wanaume tumekuwa deal tena deal kubwa zaidi yatafutwavo madini hivyo nawaasa men wenzangu msihangaike kutafuta wanawake siku hizi wanatutafuta wenyewe tena kwa torch


Mkuu unataka kutukanwa na hawa watu, we ona walivokuanzia.
 
Hakika karne hii wanaume tumekuwa deal tena deal kubwa zaidi yatafutwavo madini hivyo nawaasa men wenzangu msihangaike kutafuta wanawake siku hizi wanatutafuta wenyewe tena kwa torch

lazima wanawake wahangaike kutafuta wanaume...maana katika 10 mwanaume mmoja tu wengine wote wakiume....
 
Ni kweli tunawatafuta maana katika wa kiume 10 kumpata mwanaume walau mmoja ni bahati. So just line up tuwafanyie assessment!
Si unaona JF yote mimi nikampata Eiyer tu!
umejaribu kwangu ? Mana huyo umtajae wakiume
 
Last edited by a moderator:
Daaah mleta mada umekuwa too biased. Na kama hujawa biased basi bado ni mtoto mdogo hujui mapenzi. Tokea dahali na dahali wanaume ndiyo wanatongoza japokuwa siku hizi mambo yamebadilika lakini si kiasi cha kusema eti mwanamke akutafute kwa tochi!!!
Na kama ikitokea unatafutwa namna hiyo jua kuna kitu so special kinachotafutwa ili kiliwe hasa pesa kama ni mhongaji mzuri.
Masuala ya uhandsome wanawake siku hizi hawamind sana maana wanaume mahandsome wanaongoza kwa usumbufu aidha kuliwa viboga au kujitia vidume sana kutokana na uzuri!!
kweri we mzee wa zilipendwa na zikaenda
 
Inawezekana kuwa ni kweli, lakini ukitaka kuwa mwanaume wa ukweli na kulinda heshima yako na kuwa mtu mwenye maamuzi na kuheshimika ni vyema ukatafuta na siyo kutafutwa. Ukiendekeza michezo ya wewe mwanaume kutafutwa unahatarisha afya ya mahusiano.
Huu ni mtazamo wangu.
umesomeka mkuu tena nakupa lyk
 
Dah bro Eiyer mbona hujanambia kumbe kuna shemeji anaitwa Kaunga humu jf!,saladu zako shem

Mbona nami hajaniambia ana dogo lake aitwae Walas? Ngoja leo hapalaliki mpaka tupitie geneology yake yote.
Mi mzima shem langu la ukweenhe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom