Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

Uchache wa "me" au wng wa "ke" sio ishu, bt ishu yup mke au mme mwema.
 
mbulula c ndo wanawake wanaojidai wakishua hata iphone hawazijui
ushua na iphone vinahusikaje? uhhh usikariri maisha zombii, mtu anakijua kitu kama ana something to do with that thing/object....sasa kama iphone haimuhusu why aijue ndo awe mshua??
 
ushua na iphone vinahusikaje? uhhh usikariri maisha zombii, mtu anakijua kitu kama ana something to do with that thing/object....sasa kama iphone haimuhusu why aijue ndo awe mshua??
mmmmh! Una maneno makali kiumbe ww
 
weee unauhakika unachosema ni kweli??mii mwanamke ila sijawahi kumtafuta mwanaume ila wao wananitafuta mie lol kila sehemu fb, hotmail mtaani ila nawaapuuza cuz nina maisha yangu na nimeridhika na maisha yangu lol. Weee nadhani mwanaume ----- kama inafikia hatua unatafutwa maaana huna mpango
 
Tumshangae kwa kituo!wamekua lulu kwani loool!
nawdys wanawake tunasaka ngawira sio wanaume!
 
Endelea kujidanganya,labda wanaokutafuta wewe ni wajane
inafutwa hela sio mtu!jipange!
 
mngejitambua msingeomba M PESA WALA TIGO PESA

We uko bado msitu gani uliza mabro wa bongo wanahongwa na madem siku hizi, wanaendesha gari za madem, wanakaa nyumba za madem na voucher za sim wanapewa! lol!
 
Bora mwambie ww, na kweli ana stress sanaaa na anaitaji msaada ila njia anayoi2mia co kabisaa..!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
ULISHINDWA KUNISAIDIA KABISAA
 
Back
Top Bottom