Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona unawaka dada vipi kulikoni? au single mother maana mnakuwa wakali kama pilipilininaposema wanaumee...simaanishi wotee....ila wale wenye tabiaa...kama za mabintii.
afu wewe chunga sana,kutongozwa na hicho kinyangambusi unakuja kutuchafulia hewa humu.
yes am single mother....in short sijajaaliwa utasa.mbona unawaka dada vipi kulikoni? au single mother maana mnakuwa wakali kama pilipili
Single na wasagaji.........Nani kakudanganya?
We bado kweli enzi zile wakati mwanamke hajajikomboa kipesa ndio ilikuwa deal sasa hivi wanawake wamejitambua na wengi wanprefer kuwa single!
Torch yako iko wapi mkuu?[emoji1]jipeni moyo
POLE SANA UKIONA UNAFUATWA UJUE UNALIWA NA KUACHWA HAPO HAPOndivyo mnavyojidanganya hivyo,hahaha pole yako kwa taarifa yako nyie ndo mnatutafuta
- kugegedana
- wife material ambao ni adimu
- kuinvest penzi huna haya ww wakutafutwa muwe nyie,tukiwatafuta ujue mmarekani kaiona dhahabu na si vinginevyo.
UNAWEZA NAMBIA SHILOLE AMEMPENDEA NINI NUHU MZIWANDADaaah mleta mada umekuwa too biased. Na kama hujawa biased basi bado ni mtoto mdogo hujui mapenzi. Tokea dahali na dahali wanaume ndiyo wanatongoza japokuwa siku hizi mambo yamebadilika lakini si kiasi cha kusema eti mwanamke akutafute kwa tochi!!!
Na kama ikitokea unatafutwa namna hiyo jua kuna kitu so special kinachotafutwa ili kiliwe hasa pesa kama ni mhongaji mzuri.
Masuala ya uhandsome wanawake siku hizi hawamind sana maana wanaume mahandsome wanaongoza kwa usumbufu aidha kuliwa viboga au kujitia vidume sana kutokana na uzuri!!
HA HA MPAKA SASA SIJAJUA KWANINI MKUUHa ha ha ha sio tochi peke yake nasikia wanatumia kurunzi,, mishumaa, chemli, kandiri kumtafuta Yona edson
Wadada wa miaka hii kwel MNA matatizo yan mko fake saaana..mnatumia ma mkorogo yenu. ..+ kusagana na kutumia ma dildo...afu mnalalamika hamridhishwi ...nan atawaridhisha wakat mashine zishachoka hzo...ndo maana Siku hz ...hamfuatwi kazi kutuvizia night club....[HASHTAG]#badilikeni[/HASHTAG]