Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

ninaposema wanaumee...simaanishi wotee....ila wale wenye tabiaa...kama za mabintii.
afu wewe chunga sana,kutongozwa na hicho kinyangambusi unakuja kutuchafulia hewa humu.
 
ninaposema wanaumee...simaanishi wotee....ila wale wenye tabiaa...kama za mabintii.
afu wewe chunga sana,kutongozwa na hicho kinyangambusi unakuja kutuchafulia hewa humu.
mbona unawaka dada vipi kulikoni? au single mother maana mnakuwa wakali kama pilipili
 
Nani kakudanganya?
We bado kweli enzi zile wakati mwanamke hajajikomboa kipesa ndio ilikuwa deal sasa hivi wanawake wamejitambua na wengi wanprefer kuwa single!
Single na wasagaji.........
 
Nani kakudanganya?
We bado kweli enzi zile wakati mwanamke hajajikomboa kipesa ndio ilikuwa deal sasa hivi wanawake wamejitambua na wengi wanprefer kuwa single!
MMEJITAMBUA AU MMEJIPUMBAZA?
 
ndivyo mnavyojidanganya hivyo,hahaha pole yako kwa taarifa yako nyie ndo mnatutafuta
  1. kugegedana
  2. wife material ambao ni adimu
  3. kuinvest penzi huna haya ww wakutafutwa muwe nyie,tukiwatafuta ujue mmarekani kaiona dhahabu na si vinginevyo.
POLE SANA UKIONA UNAFUATWA UJUE UNALIWA NA KUACHWA HAPO HAPO
 
Daaah mleta mada umekuwa too biased. Na kama hujawa biased basi bado ni mtoto mdogo hujui mapenzi. Tokea dahali na dahali wanaume ndiyo wanatongoza japokuwa siku hizi mambo yamebadilika lakini si kiasi cha kusema eti mwanamke akutafute kwa tochi!!!

Na kama ikitokea unatafutwa namna hiyo jua kuna kitu so special kinachotafutwa ili kiliwe hasa pesa kama ni mhongaji mzuri.

Masuala ya uhandsome wanawake siku hizi hawamind sana maana wanaume mahandsome wanaongoza kwa usumbufu aidha kuliwa viboga au kujitia vidume sana kutokana na uzuri!!
UNAWEZA NAMBIA SHILOLE AMEMPENDEA NINI NUHU MZIWANDA
 
Wadada wa miaka hii kwel MNA matatizo yan mko fake saaana..mnatumia ma mkorogo yenu. ..+ kusagana na kutumia ma dildo...afu mnalalamika hamridhishwi ...nan atawaridhisha wakat mashine zishachoka hzo...ndo maana Siku hz ...hamfuatwi kazi kutuvizia night club....[HASHTAG]#badilikeni[/HASHTAG]
 
Wadada wa miaka hii kwel MNA matatizo yan mko fake saaana..mnatumia ma mkorogo yenu. ..+ kusagana na kutumia ma dildo...afu mnalalamika hamridhishwi ...nan atawaridhisha wakat mashine zishachoka hzo...ndo maana Siku hz ...hamfuatwi kazi kutuvizia night club....[HASHTAG]#badilikeni[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom