Nawaonea huruma wanawake wote ulimwenguni wanavyoteseka kutafuta wanaume

Hakika karne hii wanaume tumekuwa deal tena deal kubwa zaidi yatafutwavo madini hivyo nawaasa men wenzangu msihangaike kutafuta wanawake siku hizi wanatutafuta wenyewe tena kwa torch


Mkuu unataka kutukanwa na hawa watu, we ona walivokuanzia.
 
Hakika karne hii wanaume tumekuwa deal tena deal kubwa zaidi yatafutwavo madini hivyo nawaasa men wenzangu msihangaike kutafuta wanawake siku hizi wanatutafuta wenyewe tena kwa torch
samahani naomba uni PM
 
Hakika karne hii wanaume tumekuwa deal tena deal kubwa zaidi yatafutwavo madini hivyo nawaasa men wenzangu msihangaike kutafuta wanawake siku hizi wanatutafuta wenyewe tena kwa torch

lazima wanawake wahangaike kutafuta wanaume...maana katika 10 mwanaume mmoja tu wengine wote wakiume....
 
Ni kweli tunawatafuta maana katika wa kiume 10 kumpata mwanaume walau mmoja ni bahati. So just line up tuwafanyie assessment!
Si unaona JF yote mimi nikampata Eiyer tu!
umejaribu kwangu ? Mana huyo umtajae wakiume
 
Last edited by a moderator:
Nani kakudanganya?
We bado kweli enzi zile wakati mwanamke hajajikomboa kipesa ndio ilikuwa deal sasa hivi wanawake wamejitambua na wengi wanprefer kuwa single!
mngejitambua msingeomba M PESA WALA TIGO PESA
 
kweri we mzee wa zilipendwa na zikaenda
 
umesomeka mkuu tena nakupa lyk
 
Dah bro Eiyer mbona hujanambia kumbe kuna shemeji anaitwa Kaunga humu jf!,saladu zako shem

Mbona nami hajaniambia ana dogo lake aitwae Walas? Ngoja leo hapalaliki mpaka tupitie geneology yake yote.
Mi mzima shem langu la ukweenhe
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…