Nawaonea sana huruma dada zangu. Kipindi wapo umri 25, uzazi upo rahisi kwao, hawapati wanaume wa kuwaoa. Wakifika 30s wakiwa na vihela ndio wanaolewa

Wapo ambao ht hawakuwahi kuzaa ,na wanazaa vzr tu!

Jmn maisha yamebadirika msikariri sn
 
Kwakweli nasema hivi tusioangiane maisha
Mi ndo maana nafikiria kwenda kuishi mbele huko ambako unsishi maisha yako
Mi ntazaa nikijisikia nataka kuzaa, sio kwasababu fulani anasema..!! Kulea kunataka muda na kuhudumia ndoa pia.!!
Kwanza sipendi kuwa mtumwa wa mtu mie, napenda nijiendeshe mwenyewe.!
 
Hilo kundi unaongelea wewe ni dogo sana.
 
Mi ntazaa nikijisikia nataka kuzaa, sio kwasababu fulani anasema..!! Kulea kunataka muda na kuhudumia ndoa pia.!!
Kwanza sipendi kuwa mtumwa wa mtu mie, napenda nijiendeshe mwenyewe.!
🤣🤣
Watu hawajui
Mi sizai na fala kwanza
Halafu sizai na mtu Ambae sio father figure,(Ambae hatakaa kwenye nafasi yake km baba) ndo maana mashoga kibao!
Upuuzi mtupu....
Watu waliozaa mapema na kutuletea mashoga Wana faida Gani?
Unazaa mitoto kulea shida no impact ya nn?
 
Usiogope mkuu we ongea tu, ila ni vema kupata watoto ukiwa bado mdogo, complications zinakuwa sio nyingi. Lakini pia usiwe na pressure as kila jambo na wakati wake.
Sina pressure mie
.ila watu wasikariri
Safari zinatofautiana Kila mmoja na Muda wake!
 
Mi ntazaa nikijisikia nataka kuzaa, sio kwasababu fulani anasema..!! Kulea kunataka muda na kuhudumia ndoa pia.!!
Kwanza sipendi kuwa mtumwa wa mtu mie, napenda nijiendeshe mwenyewe.!

upo sahihi mtoto anahitaji maandalizi.

doctor wa wanawake anatoa elimu nzuri kwenye hili


Your browser is not able to display this video.
 
Samahani, upon kinyume na nilivyotarajia😃. KIONGOZI, ULIPATA USINGIZI KWELI SIKU HIYO??
Mkuu mimi huwa sinaga tatizo na kukataliwa ile siku ya kwanza kwasababu huyo mtu ni mkweli hataki kukupotezea muda. Tatizo ni mtu anakukubali wewe na wengine 99. Kwahiyo nilipata usingizi kama kawaida.
 
Umeona.?? Yani unazaa na mtu sababu naye anapumua km viumbe wengine.!!
Yupo km hayupo
Yeye mwenyewe hawezi kujiendesha na maisha yake..!!
Halafu nichanue tumbua placenta ipokee mbegu ya hovyo..!! Thubutuuu huo ujinga sifanyi.
 
Wakiwa kwenye 20-25 wanakuwa wa moto hawakamatiki.
 
Umeona.?? Yani unazaa na mtu sababu naye anapumua km viumbe wengine.!!
Yupo km hayupo
Yeye mwenyewe hawezi kujiendesha na maisha yake..!!
Halafu nichanue tumbua placenta ipokee mbegu ya hovyo..!! Thubutuuu huo ujinga sifanyi.
Tumbo langu lenyewe la uzazi naliombea haliwezi pokea mbegu za mtu asiye eleweka!
😅😅

Yaani kiroho tu tumbo halipokei Kila mbegu ,sitaki!
 
Tumbo langu lenyewe la uzazi naliombea haliwezi pokea mbegu za mtu asiye eleweka!
😅😅

Yaani kiroho tu tumbo halipokei Kila mbegu ,sitaki!
Mbegu za hovyo hapana tuzikatae km tulivyomkataa shetani na mambo yake yote..!!
Kuna watu hawastahili kuitwa baba, basi tu ni vile wanawake tuna huruma 🤣🤣🤣
 
Hata mm namshangaa wakati saivi unaweza ukatotolesha mtoto kwenye chupa kama kuku wa kizungu🤔

Whoman!, very stupid organism.

Teknolojia ipo ila bei Sio rahisi kiasi hicho.

Kwa dada zangu naowaongelea hawaafford. Tunadanganyana tu kusema teknolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…