Nawaonea sana huruma dada zangu. Kipindi wapo umri 25, uzazi upo rahisi kwao, hawapati wanaume wa kuwaoa. Wakifika 30s wakiwa na vihela ndio wanaolewa

Nawaonea sana huruma dada zangu. Kipindi wapo umri 25, uzazi upo rahisi kwao, hawapati wanaume wa kuwaoa. Wakifika 30s wakiwa na vihela ndio wanaolewa

Habari wadau.

Ukweli maisha ya kisasa sio rafiki kabisa kwa dada zangu ama wanawake wote.

Wanawake wana biological age tofauti na wanaume.

Dada zangu wanamaliza elimu mapema wakiwa ealy 20s tu wameshamaliza masomo. Hapo wapo hot. Sura nzuri. Mayai ya uzazi yapo vizuri ukigusa tu mimba. Waoaji hawaonekani sababu kipindi hicho dada zangu wanakuwa hawana kipato cha kueleweka. Mwanamke Kuolewa mpaka awe na maisha ama kipato kizuri nowdays. Ama huyo dada atoke familia bora mambo safi ndio anaolewa haraka.

Dada zangu wanabaki wanasuburia huku umri unaenda mayai ya uzazi nayo yanazeeeka. Maana hawana hela ya ku ya freeze kama wazungu.


Dada zangu hao hao wakifika 30s kidogo kipato kimesimama simama. Ndio wanaume waoaji wanaibuka na kutaka kuwaoa. Dada zangu hawana hiyana wanaolewa.

Shida kwenye ndoa sasa wanaenda kukutana na lawama kwamba hawazai ama wakijitahidi wanazaa mtoto mmoja tu.

Mwanaume kama unataka familia watoto wengi kwa nini usimuoe dada yangu toka amemaliza chuo wakati yupo early 20s...

Hapo ungemchoka mwenyewe mpaka anafika 30s angekuwa ameshakuzalia watoto hata watatu. Na angekuzalia wengine in her 30s sababu uzazi umeshafunguka mapema kuendelea kuzaa sio ishu kwake

Kumuoa umechelewa mwenyewe halafu unampa lawama kwamba hazai watoto unaotaka.

Wanaume mjifunze wanawake wana biological clock.

Kama tunapenda watuzalie familia kubwa Tuwaoe mapema wakati mayai yao yana nguvu ealy 20s

Nchi hii,mfumo upi mdada Miaka 20 kamaliza kusoma?
Labda wanaosoma mitaala hiyo mingine sio hii ya kayumba....
Halafu suala la kuzaa watt wengi sshv ,hivi ni kweli Bado wapo wanaume na wanawake wanataka watt wengi miaka hii ?Sina uhakika kwa maisha yapi?
Anyway sshv watu wanazaa tu wakiamua haijalishi umri mkuu
 
Wala hakuna uhalisia wa umri na stress za kuolewa na kupata watoto.

Jamii zetu zimewashape wanawake kuwa kwenye hiyo hali ya stress bila wenyewe kujua.
 
Shida kwa dunia hii ya ss🤷
Watu Bado wanataka watt wengi kweli?

sio kila mtu ana shida. mfano CEO wa NMB ana watoto watano. kwenye ndoa yake

Kuna wanaume wamejipata kiuchumi kila kitu kuanzia kwao tu walipozaliwa kuna makampuni.. sasa huyo nae akioa aogope kupata watoto wengi kisa shida
 
Ila huyu,utafikiri zimeng’oka kwa kichwa.....unaweza dhani Anton’s huruma kumbe kejeli tu
tayana wog.png
 
Back
Top Bottom