Nilikuja kukuserch mpaka uku lupembe ujueChino wangu jamani ππ
Njoo kkoo unisalimie bebiii
Nna zawadi zako za Christmas honeyy π
π€£π€£π€£Nilikuja kukuserch mpaka uku lupembe ujue
Zitume kwenye luwinzo or Galaxy basi.
Haha Kuna siku majuzi tu hapa kama two weeks nyuma nilikua nimekaa sehemu mmoja mwenge nakula' nikajiuliza naanzia kukuserchia wapi nakajikuta nacheka peke anguπ€£π€£π€£
Panda hakuna kulala uje town, uko shamba tutaweka vibarua bana
Ww kuna siku utavamia watu ujue ni cute π€£π€£π€£Haha Kuna siku majuzi tu hapa kama two weeks nyuma nilikua nimekaa sehemu mmoja mwenge nakula' nikajiuliza naanzia kukuserchia wapi nakajikuta nacheka peke angu
Umeona eh? WalauWw kuna siku utavamia watu ujue ni cute π€£π€£π€£
Usijali nitakwambia duka langu lilipo uje mchuchu
Haya bebiii njooUmeona eh? Walau
Nije kupiga dayworker ya uwinga kwa siku kuzaa.
Ntafute hela za vibarua shamba
Unajua nini mkuu, hawa dada zetu wanajisahau sana inabidi kama hivi tunawakumbushaMkuu siku hizi unawapiga spana sanaa.
πππ Haya nitampa salamu mama miongozoMsalimie sana ukimuona.
Mpaka tutoe copy haha
Bado watoto ninyiIla labda TU hujakutana na soul mate wako mkuu hakuna mwenye kiburi at 18-28 tena wengi huwa na real love sana kabla akili haijawa corrupt baada ya kuvunjwa vunjwa moyo na fake promise
My girl is 20 na nisipojibu atatembea hadi kwangu kuja kuangalia shida ni Nini,mind you am 35.
35 vs 20, the difference is big asee!Ila labda TU hujakutana na soul mate wako mkuu hakuna mwenye kiburi at 18-28 tena wengi huwa na real love sana kabla akili haijawa corrupt baada ya kuvunjwa vunjwa moyo na fake promise
My girl is 20 na nisipojibu atatembea hadi kwangu kuja kuangalia shida ni Nini,mind you am 35.
Hakuna jipyaTayana-wog msikilize mwanamke mwenzako aliyoyaona hospitali
Miss u moreeI miss u mama mchungaji Tayana-wog
Wajumbe ktk ubora wetu π πNa hela ya mafuta wengine tuanze kuwatembelea kabisa kwenye miji yao Tlaatlaah
natafakari hapa na nakujikoki vizuri ili isionekane kama natuma rushwa, takrima au fadhila bali ni miamala ya kawaida tu ...Tlaatlaah mwaga pesa baba kampeni ziendelee ππ