amesikika shabiki mmoja wa utopoloKwa Mkapa lazima Mayele atetemeshe manyonyo mara tatu. Katimu underdog kale hakawezi kutusumbua wananchi tulioletea nchi yetu Uhuru....
Afu tukienda Tunisia tunaenda kupindua mkeka....
Tena shabiki kindakindaki mwenye mwiko wake nyumaamesikika shabiki mmoja wa utopolo
Kwa huyu siyo utani. Na kwa mtazamo wake, ni mimi pekee ndiye ninaye paniki pale ninapo wakumbusha madhaifu yao.Nadhani ni utani tu.
Watu wa aina hiyo wapo wengi. Hapo kwenye udhaifu nyie utopolo ndiyo mnao udhaifu mkubwa sana. Mnajiona wakali kumbe siyo kweli. Hamna historia yoyote ile ya kutukuka ila kwa kujisifu ni hatari.Kwa huyu siyo utani. Na kwa mtazamo wake, ni mimi pekee ndiye ninaye paniki pale ninapo wakumbusha madhaifu yao.
Uchaguzi ni wako mjomba wanguSasa kama imefikia hatua, kila ninacho changia humu ni kupaniki! Basi nitaacha kuchangia mada yoyote ile kwenye hili jukwaa.
Na hizo ndiyo dalili za kupanic.Nadhani ni utani tu.
Huyo ni mjomba wangu tunaelewana sana ila linapokuja suala la Utopolo anajichetua sanaWatu wa aina hiyo wapo wengi. Hapo kwenye udhaifu nyie utopolo ndiyo mnao udhaifu mkubwa sana. Mnajiona wakali kumbe siyo kweli. Hamna historia yoyote ile ya kutukuka ila kwa kujisifu ni hatari.
watapigwa kama mbwa koko.Nyani wa pori la Utopolo watapigwa kama kigoma cha daku kudadadeq
Uwezo wako ni mdogo sana na hili limejihidhirisha pasipokua na shaka kupitia Uzi huu ukweli ni kwamba mpira hauchezwi mdomoni1. Acheni kabisa kujidanganya kuwa kwa kuwa Kipanga FC ya Zanzibar alitoka nao suluhu (sare isiyo na magoli) basi hawa wapinzani wenu Club Africaine ya nchini Tunisia mnawaweza na mtawafunga.
2. Dhambi ile ile mliyoifanya kwa Al Hilal FC kwa kuwadharau na kujiona ni wakubwa kuwa mngewafunga ndiyo hiyo hiyo mnairudia tena leo.
3. Kumbukeni hawa Club Africaine hawatokei katika Madafu Premier League yetu Tanzania yenye farasi wakubwa wanne au watano, huku wao na nchi yao wakiwa miongoni mwa nchi kubwa na iliyoendelea sana kimataifa hasa katika mchezo wa mpira wa miguu.
4. Kwa ubovu wa timu ya Kipanga FC ilikuwa ni lazima tu Club Africaine ya nchini Tunisia wabovu kama wao (kipanga) na hivyo watashinda kiuwepesi na hatimaye kuingia makundi ya CAFCL.
5. Mnaoidharau Club Africaine ya nchini Tunisia (kutokana na ujuha wenu) kumbukeni kuwa hawa wenzenu walishafika hadi fainali ya CAFCC je, nyie (Yanga SC) mmeshafika huko walikofika au hata tu kupasogelea?
6. Ninavyowajua Waarabu walivyo makini katika michuano hii ya Afrika watakuwa tayari wameshabeba video za mechi za Yanga SC na timu zingine ili kujipanga zaidi kuwakabili kimchezo na kiufundi. Ila kwa niwajuavyo Yanga SC kwa sasa kipaumbele chao ni udhamini wa UNICEF na kuchanja UVIKO - 19, kuiroga kuifunga Simba SC Jumapili ijayo, kujisahau na ushindi wa ligi nyepesi ya NBC Premier League na ikifika tarehe 30 December 2022 siku tatu kabla ya kukutana na hawa Club Africaine ndiyo Watazinduka na kuanza kujiandaa na wakitolewa kama kawaida, mbuzi wao wa kafara na kichaka chao cha kujitetea kitakuwa ni kumlaumu mwamuzi (refa) kuwa amewaonea.
7. Tayari waandishi wa habari, watangazaji na wachambuzi wa michezo wameshaanza kujipendekeza kwa Yanga SC na kuwa waongo dhidi yao huku wakiwadanganya kuwa Club Africaine ya nchini Tunisia ni nyepesi mno na Yanga SC atashinda tu kote kote, wakati kiuhalisia wana Yanga SC wachache wenye akili wameshakubali kuwa kwa kimataifa Yanga SC anakufa na michuano hii haiwezi.
Endeleeni tu kujidanganya sawa?
Aziz Ki kawaangusha hao wachezaji 6 waliomzidi thamani[emoji23][emoji23]WACHEZAJI WENYE THAMANI
WA CLUB AFRICAIN
1. LARRY AZOUNI
Nafasi: Kiungo Mshmbuliaji
Thamani: 1.6B Tsh
Jezi: Namba 8
Miaka: 28
Aliwahi kucheza Marseille, Lorient, Nimes zote za Ufaransa pamoja KV Kortrijk FC ya Ubelgiji
2. AHMEDI KHALIL
Nafasi: Kiungo Mkabaji
Thamani: 1.3B tsh
Jezi: Namba 5
Miaka: 27
3.NADER GHANDRI
Nafasi: Beki wa Kati
Thamani: 1B Tsh
Jezi: Namba 6
Miaka: 27
4.SKANDER LABIDI
Nafasi: Mlinzi wa Kati
Thamani: 900M Tsh
Jezi: Namba 3
Miaka: 29
5. NOUREDDINE FARHATI
Nafasi:Mlinda Mlango
Thamani: 900M Tsh
Jezi: Namba 1
Miaka: 22
NB: Thamani ya mchezaji namba moja wa Club
Africain ni sawa kununua akina Aziz Ki sita
Tuna Wachezaji wa Gharamaaa
Nyie jamaa mpaka huruma aseeNyani wa pori la Utopolo watapigwa kama kigoma cha daku kudadadeq
Aziz Kiii goli la nguruwe1. Acheni kabisa kujidanganya kuwa kwa kuwa Kipanga FC ya Zanzibar alitoka nao suluhu (sare isiyo na magoli) basi hawa wapinzani wenu Club Africaine ya nchini Tunisia mnawaweza na mtawafunga.
2. Dhambi ile ile mliyoifanya kwa Al Hilal FC kwa kuwadharau na kujiona ni wakubwa kuwa mngewafunga ndiyo hiyo hiyo mnairudia tena leo.
3. Kumbukeni hawa Club Africaine hawatokei katika Madafu Premier League yetu Tanzania yenye farasi wakubwa wanne au watano, huku wao na nchi yao wakiwa miongoni mwa nchi kubwa na iliyoendelea sana kimataifa hasa katika mchezo wa mpira wa miguu.
4. Kwa ubovu wa timu ya Kipanga FC ilikuwa ni lazima tu Club Africaine ya nchini Tunisia wabovu kama wao (kipanga) na hivyo watashinda kiuwepesi na hatimaye kuingia makundi ya CAFCL.
5. Mnaoidharau Club Africaine ya nchini Tunisia (kutokana na ujuha wenu) kumbukeni kuwa hawa wenzenu walishafika hadi fainali ya CAFCC je, nyie (Yanga SC) mmeshafika huko walikofika au hata tu kupasogelea?
6. Ninavyowajua Waarabu walivyo makini katika michuano hii ya Afrika watakuwa tayari wameshabeba video za mechi za Yanga SC na timu zingine ili kujipanga zaidi kuwakabili kimchezo na kiufundi. Ila kwa niwajuavyo Yanga SC kwa sasa kipaumbele chao ni udhamini wa UNICEF na kuchanja UVIKO - 19, kuiroga kuifunga Simba SC Jumapili ijayo, kujisahau na ushindi wa ligi nyepesi ya NBC Premier League na ikifika tarehe 30 December 2022 siku tatu kabla ya kukutana na hawa Club Africaine ndiyo Watazinduka na kuanza kujiandaa na wakitolewa kama kawaida, mbuzi wao wa kafara na kichaka chao cha kujitetea kitakuwa ni kumlaumu mwamuzi (refa) kuwa amewaonea.
7. Tayari waandishi wa habari, watangazaji na wachambuzi wa michezo wameshaanza kujipendekeza kwa Yanga SC na kuwa waongo dhidi yao huku wakiwadanganya kuwa Club Africaine ya nchini Tunisia ni nyepesi mno na Yanga SC atashinda tu kote kote, wakati kiuhalisia wana Yanga SC wachache wenye akili wameshakubali kuwa kwa kimataifa Yanga SC anakufa na michuano hii haiwezi.
Endeleeni tu kujidanganya sawa?