Nawapongeza wasabato kwa kanisa lao kutovuma kwa skendo na drama

Ndiyo ujinga mliobaki nao.Kizazi cha kishenzi kabisa.Dini ya juzi tu halafu mnajidai mnajua kila kitu.Nenda katawaze kwanza.
hakuna tusicho kijua dini yetu imejitosheleza kwa kilakitu. nilisha tawaza tokea saa 11 alfajiri
 
Ama kweli divide and rule imefanikiwa sana kwa Africa. Na ndicho walichokuwa wanataka. Kutwa kugombana kisa dini ambazo kila mmoja amejikuta huko sababu ya wazazi. Tujifunze kuheshimiana na kuvumiliana
Unajidanganya.Ukiona mtu anawatukana wenzake bila sababu ya msingi akili zako zinakutuma itakuwa dini tu ndiyo inamsukuma?.Jitafakari.
 
Unajidanganya.Ukiona mtu anawatukana wenzake bila sababu ya msingi akili zako zinakutuma itakuwa dini tu ndiyo inamsukuma?.Jitafakari.
Na jidanganya kwa lipi? Kwani huwezi kuabudu au kuamini unacho amini bila kukashfu anacho amini mwingine? Hakuna dini perfect.
 
Na jidanganya kwa lipi? Kwani huwezi kuabudu au kuamini unacho amini bila kukashfu anacho amini mwingine? Hakuna dini perfect.
Ulichokiandika mwanzo na hiki ulichokiandika hakuna mlinganyo sahili.At least,umerudi kwenye ukweli.
 
Kafanye research kwa single mama afu uje hapa na tuendelee kujadiliana
Kwamba wanaongoza kwa kutengeneza single mothers? Hii inaweza kuwa kweli imemtokea ndugu yangu wa karibu sana
 
Mimi ni Mlutheri, lakini naunga mkono hoja kuhusu hawa jamaa zetu wasabato!
 
Unajielewa wewe???

Wewe hapo kwenye bold ukisoma unaelewa ulichokiandika?”huwachukii ila unatakiwa kukaa nao mbali" kukaa nao mbali vipi kama hujaanza kwanza kuwachukia?

Maneno mengi point zero!
Unajielewa wewe???

Wewe hapo kwenye bold ukisoma unaelewa ulichokiandika?”huwachukii ila unatakiwa kukaa nao mbali" kukaa nao mbali vipi kama hujaanza kwanza kuwachukia?

Maneno mengi point zero!
jifanyishe kichwa majitu hatuna time namakafiri
 
jifanyishe kichwa majitu hatuna time namakafiri
Wewe Fusebox ume-prefer kuwa fusebox ya gari gani?

Obviously ni Peugeot 404 1960 model maana akili zako ziko so outdated,zaidi ya kauli za karaha huna kingine,as for me naachana na wewe.
 
Kwamba wanaongoza kwa kutengeneza single mothers? Hii inaweza kuwa kweli imemtokea ndugu yangu wa karibu sana
Ndo ukwel ambao wengi wanaukataa...huwa wanabanwa sanaa ila hawapewi elimu ya jinsia...akipata tu mwanya anaipeleka bila kujua side effects..soon tu anatoka kuitwa bint na kuwa mama
 
Wewe Fusebox ume-prefer kuwa fusebox ya gari gani?

Obviously ni Peugeot 404 1960 model maana akili zako ziko so outdated,zaidi ya kauli za karaha huna kingine,as for me naachana na wewe.
pole mkuu naona nawewe umesusa Kama mwenzio yule mwenye ana akili zakitimoto kajipangeni upya nadini yenu yamchongo
 
Hawa jamaa wanaweza imba mpaka ukahis hizo sauti tayar zimeshapitishwa kwenye vyombo vya mziki kumbe bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…