Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wapo waliokimbia JF baada ya kuwanao humu kwa muda wakipigwa spana na majina yao halisi wakakimbia kwa kuwa wewe umekuja watumie hii post waambie wanaitwa tena JF sio waje kwenye uchaguzi tu kutafuta kura

USSR
 
Karibu sana mdau.
 
walekhum salam,karibu sana Mkuu
 
Karibu JF mkuu .
 
Nimepokea.
Nawasogezea wenzangu upande huo washugulikie.
 
Mkuu unaonaje ukamwambia mama kuwa sisi tuna mpenda sana. Ila asisikilize machawa. Asikilize na aruhusu katiba mpya ipitishwe ile rasimu ya warioba. Langu ni hili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…