Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Ndugu Msigwa,
Karibu sana mdau.Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
HahahaKaribu MMU
walekhum salam,karibu sana MkuuNawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
Nilijua utamuuliza uko wap😁😁Kipindi hiki JF tunapata ugeni mzito mzito tu.....
Karibu supu
Mbowe ndio alitia fora wallahWapoo waliokimbia JF baada ya kuwanao humu kwa muda wakipigwa spana na majina yao halisi wakakimbia kwa kuwa wewe umekuja watumie hii post waambie wanaitwa tena JF sio waje kwenye uchaguzi tu kutafuta kura
…
Utani kwenye masuala ya maslahi ya TaifaKaribu sana mkuu.
Mkumbushe Nape aache utani usio na manufaa kwenye hili taifa
Dodoma ni current address mkuu' huko ulikokutaja ni permanent address
Karibu sana JF uwe mvumilivuNawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
Karibu JF mkuu .Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
Nimepokea.Mkuu wewe upo karibu na watawala, tafadhari wasihi basi waajiri waalimu katika ngazi mbalimbali.
Serikali imekuwa ikijenga shule na kututangazia kua imefanikiwa kujenga shule nyingi,lakini hatuoni waalimu tukiajiriwa,huoni shida mkuu?
Kikawaida, mwalimu mmoja anatakiwa kufundisha wanafunzi 45, lakini sasa hali haiko hivyo,hata kama haiko hivyo, shauri serikali iajiri tafadhari, walau teaching loads kwa waalimu ipungue.
Mkuu unaonaje ukamwambia mama kuwa sisi tuna mpenda sana. Ila asisikilize machawa. Asikilize na aruhusu katiba mpya ipitishwe ile rasimu ya warioba. Langu ni hili tuNawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum