Yesu mwenyewe alikuwa akipata rizki yake kutoka kwa aliyemuumba. Kumbe na yeye alikuwa akitoa pia?YESU KAWAPA RIDHIKI ZAO ZIPATIKANE TANZANIA WAENDE WAPI SASA ULIPO UGALI NA MBOGA INATAKIWA IWEPO HAPO HAPO
Ukiwa huna hela huezi elewa. Kama hela huna utaona TZ ni mbaya mana utaishia kula bata kwa sehem za kawaida ila kuna machimbo mzee sio poa kabisa. Ushawahi kuingia kwenye chumba cha hotel mlango unajua hadi jina lako? Yani ile umefika tu unasikia "TJ Victor,We love you, welcome to paradise" 😄 Mkuu tafuta hela dar haina joto na wala sio kubayaWe kweli hujielewi eti kigamboni ni zaidi ya ulaya kumbe Kuna watu mmechanganyikiwa Kwa ugumu wa maisha
Tafuta hela ndugu, upunguze makasiriko😄Kapime Malaria itakua imekupanda kichwani
Hata wewe ukiwa na pesa ukaishi bush, vijijini ndani ndani huko, thamani ya pesa yako itaonekana.Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Sijapoteza hela Mimi nizitafute Ili iwejeTafuta hela ndugu, upunguze makasiriko😄
Kweli ccm wenye akili ni wawili tuMshamba ni wewe fukara wa mali na akili.
Kama hujapoteza basi paradise ungeijua mapema sana.Sijapoteza hela Mimi nizitafute Ili iweje
Wewe unaijuaKama hujapoteza basi paradise ungeijua mapema sana.
Pale ndo nyumbaniWewe unaijua
Hata porini ni nyumbaniPale ndo nyumbani
Ni sawa ila maji na mafuta hayachangamani. Utofauti utaonekana tuHata porini ni nyumbani
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..Duuh ndio umefikia huku hii laana aisee
Unamwambiaje mgonjwa wa ukimwi atafute hela huyo anasubiri kujifia tu kama dida.Tafuta hela ndugu, upunguze makasiriko[emoji1]
Aisee nini hiki moderator pigeni ban punga hiliMkundu wangu ni mnato nauuza Ili nipate pesa
Wanaogopa kwend kufilisikaHivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi Tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganIsha na klabu za Ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Tarehe zimefika tuanze kuandaa msiba 😂Unamwambiaje mgonjwa wa ukimwi atafute hela huyo anasubiri kujifia tu kama dida.
Mbona unanionesha hela ya kiingilio cha hotel za buza😂Pole sanaaa 🤣🤣🤣🤣
I rest my case. Pumzika kwa amani marehemu mtarajiwa.Mimi ni kweli nimeathirika na UKIMWI, nimeshasambaza kwa watu wengi na pia hata afya yangu ya akili haiko sawa ndio mana nafungua thread ambazo hazieleweki mana nimeshachoka na maisha nasubiri kufa tu.