Uchaguzi 2020 Nawashauri CHADEMA wamtulize kwa sasa Tundu Lissu aache kufanya mashambulizi makali kwa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Nawashauri CHADEMA wamtulize kwa sasa Tundu Lissu aache kufanya mashambulizi makali kwa Rais Magufuli

Kwendraaaaa
Mnatia huruma aisee!! Mnategemea mpewe Urais kwa kuonewa huruma za risasi,,,?

Hii ni nchi tunataka rais aliye na vision ya kulipeleka taifa mbele na Magufuli kasha onyesha udhubutu huo

He still the best President!!!
 
Maendeleo gani yaliyofanywa na CCM??? Kuharibu biashara za mazao kama korosho na mbaazi??? Kuharibu uchumi wa nchi na kutengeneza majobless??!

Nani kakuambia biashara ya korosho imeharibiwa? Nyie mnaolalama ndio mlikuwa mnawazulumu wakulima kwa kuwalangua magunia ya kuzitunza. Mkulima anakopeshwa magunia ya thamani ya laki moja akivuna analipishwa kwa korosho ya thamani ya laki nne. JPM kazuia dhuluma kubwa waliyo kuwa wanafanyiwa wakulima. Jogoo lile la zawadi ya Idd EL adha halijatoka bure.
 
Tundu Lissu amefanya mashambulizi makali kwa Magufuli leo mara baada ya kuchukua fomu, amemsema Magufuli kwa namna amabavyo hajawahi kusemwa kwa miaka mingi huku wananchi wakishangilia

kwa mwendo huu Tume ya Uchaguzi na System nzima Tanzania huenda wakamuengua asigombee maana itakuwa hatari kwa mashambulizi anayoyafanya, Chadema na yeye mwenyewe wangejizuia kwanza wafanye kila kitu kwa upole kisha kampeni zikikolea mashambulizi ndio yakolee kiasi


Kwa alichomfanyia hata ungekua wew usingeacha kumshambulia
 
Kako kaujumbe jana Lissu kapewa na watu wa Dodoma, mtafute off camera atakuambia ukweli.
Awamu ya pili ndipo utawala huu wa mkono wa chuma utakapotamalaki zaidi, JPM na CCM yake sasa basi. Mitano ya Utawala wa Imla Yatosha.
 
Lisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!


Watanzania wanasubiri kupigwa kwa hoja sio vijimaneno vya kiswahili😂. Yaani hoja imeshindikana mapema hivi 😂😂 pumba tupu
 
Ni kweli kabisa usemayo, ila Lisu alipigwa kabisa risasi, na anamnyooshea kidole huyo huyo, na mpaka sasa hakuna uchunguzi wowote.
Ile tweet ya magufuli kuhusu shambulio la Tundu lisu ilifutwa na nani ?
 
Ajenda pekee ambayo chadema mnayo ni kuakikisha mnamchafua magufuli ili achafuke ndio muingie ikulu ila kwa Sera hamna za kuwapeleka ukulu na kwa Dunia ya sasaiv kumchafua mtu kama Magufuli haiwezekan Tena polen kwa ilo
 
Ajenda pekee ambayo chadema mnayo ni kuakikisha mnamchafua magufuli ili achafuke ndio muingie ikulu ila kwa Sera hamna za kuwapeleka ukulu na kwa Dunia ya sasaiv kumchafua mtu kama Magufuli haiwezekan Tena polen kwa ilo

Mkuu kitu kichafu unakichafuaje. Tafuta maneno mengine ya Utetezi lakini hilo la usafi halikubebi.
 
Tundu Lissu amefanya mashambulizi makali kwa Magufuli leo mara baada ya kuchukua fomu, amemsema Magufuli kwa namna amabavyo hajawahi kusemwa kwa miaka mingi huku wananchi wakishangilia

kwa mwendo huu Tume ya Uchaguzi na System nzima Tanzania huenda wakamuengua asigombee maana itakuwa hatari kwa mashambulizi anayoyafanya, Chadema na yeye mwenyewe wangejizuia kwanza wafanye kila kitu kwa upole kisha kampeni zikikolea mashambulizi ndio yakolee kiasi

CCM halijawahi kuwa huruma brother.
Lissu anaweza kufanya mambo kwa utulivu kama umavyoshauri but still wakamfanyia figisu.

Achana na hicho Chama Cha CCM.
Acha Lissu awapandie kabisa
 
Awamu ya pili ndipo utawala huu wa mkono wa chuma utakapotamalaki zaidi, JPM na CCM yake sasa basi. Mitano ya Utawala wa Imla Yatosha.

Huoni hata EL moja wa viongozi wa muda mrefu na waandamizi katika taifa hili kaelewa somo. Huku sikia pale Dodoma kwenye mkutano wa CCM akimwambia Mkt bado endelea kutufinya kidogo.

Wapinzani kwa mfano walipoambiwa uchaguzi 2015 umeisha na mkutano basi mpaka 2020 walilalamika, lakini kwa kuwa aliye ya sema haya hakuwa na unafiki ndani yake alimaanisha, 2020 hii hapa na liliwezekana Wafuasi wacdm wakasaidiwa kuepukana na ule mradi wa kitapeli viongozi wao kwachangisha fedha za Sharma ya hedikopta.

Maana ya hii kauli ya EL ni nini? Ni kwamba amekubali kuwa walikuwa kipindi chao wanakosea mahali ama kwa kutaka au kulazimishwa. Huwezi kupewa kazi kubwa ya nchi ya kuongoza watu zaidi ya 60M ukataka kumfurahisha kila. Sanasana utaishi kuwa mnafiki na mwishp Siku kudharaulika tu.
 
Huoni hata EL moja wa viongozi wa muda mrefu na waandamizi katika taifa hili kaelewa somo. Huku sikia pale Dodoma kwenye mkutano wa CCM akimwambia Mkt bado endelea kutufinya kidogo.

Wapinzani kwa mfano walipoambiwa uchaguzi 2015 umeisha na mkutano basi mpaka 2020 walilalamika, lakini kwa kuwa aliye ya sema haya hakuwa na unafiki ndani yake alimaanisha, 2020 hii hapa na liliwezekana Wafuasi wacdm wakasaidiwa kuepukana na ule mradi wa kitapeli viongozi wao kwachangisha fedha za Sharma ya hedikopta.

Maana ya hii kauli ya EL ni nini? Ni kwamba amekubali kuwa walikuwa kipindi chao wanakosea mahali ama kwa kutaka au kulazimishwa. Huwezi kupewa kazi kubwa ya nchi ya kuongoza watu zaidi ya 60M ukataka kumfurahisha kila. Sanasana utaishi kuwa mnafiki na mwishp Siku kudharaulika tu.
EL alikuwa PANDIKIZI, sasahivi tumepata CDM masalia kwa hiyo usihofu.
 
Back
Top Bottom