Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

Frank Lyova

Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
13
Reaction score
10
Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
 
Hzo ni minyoo,huenda dawa haijazifikia tu,endelea kusubir zaid tatzo litaisha.

Hzo minyoo huwa na tabia ya kisenge sana zinasababsha muwasho kwenye marinda ili ujikune kwa vidole baadae usahau uweke vidole mdomoni ili viendeleze circle life yake,hayo ni mayai yake ndo yanakuwasha,yametagiwa kwenye marinda,kwahyo utajkuna baadae unayaweka mdomon yanaenda kuanguliwa kwenye utumbo mwembamba
 
Bila shaka ni minyoo tu hiyo mkuu
Nenda hospital wakubadilishie dawa
 

Kwanini chips? Kwasabab zawekwa kwenye sahani ambalo halijakaushwa vizuri maji


Kwanini kqchumbari? Maandalizi yake yameandaliwa na mikono michafu mtu kajikuna huko na yeye anakata nyanya na wewe baadae unaenda kula.

Kwanini mihogo? Kwasababu mmenyaji hajajisafisha vyema mikono hivyo kujisababishia maambukizi tumboni.

Suluhisho? Waone madaktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…