Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Kwann apeleke huko kwanza?Vinaanza vidole mara pap keshaingia. Nani kayatatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann apeleke huko kwanza?Vinaanza vidole mara pap keshaingia. Nani kayatatua
Ha ha haaa,uchokoz huo.Hujui ni ugonjwa huo wa kujikunaBaada ya kuachana na nyeto ukabidirisha burudani
Hivi hujui kidole ni nyama na kijamaa ni nyama pia, hakuna tofauti. Maskini marinda kwaheriKwann apeleke huko kwanza?
Uongo pilipili hazina madhara. Na huyo anatafuta wa kumkuna tu hana loloteUsje kuta wew Ni James delicious ukabadili jina tu. Haya pole lkn Kama unatumia pilipili Sana acha
Yapo bhana,usinitishe kwa kweliHivi hujui kidole ni nyama na kijamaa ni nyama pia, hakuna tofauti. Maskini marinda kwaheri
Tatizo ni namna unavyo jikuna sasaHa ha haaa,uchokoz huo.Hujui ni ugonjwa huo wa kujikuna
hapana sio kwa ndani.. Nawashwa eneo lanjeHao ni Fungus mkuu,labda kama ni kwa ndani...
Juujuu,ukizidi unachomeka kidogo tuTatizo ni namna unavyo jikuna sasa
Mungu akuponye,wasiojua shida yake hawatokuelewa kabisahapana sio kwa ndani.. Nawashwa eneo lanje
Pole,iko dawa moja ntakutumia jina lake ni ya kupaka,ndani ya siku mbili hutasikia muwasho tena...hapana sio kwa ndani.. Nawashwa eneo lanje
Sasa hyo kidogo ndio inazaa mazoeaJuujuu,ukizidi unachomeka kidogo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu picha ili tuweze kutambua ugonjwa
Ooh, sawa... Vumilia hali ikiendelea uwahi hospitaliKaka hakuna mabadiliko yoyote hizo sehemu.. Zaidi ya kuhisi muwasho tu
nenda kwenye maombi haraka mzee, jini abubakar (jini popobawa) ameshakuingia, utakuwa unanyukwa usiku na mashetani bila wewe kujua. angalia wanaume wasikudanganye, kuwa makini tafadhari.Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
Mngh!!!! Ni ugonjwa gani mbaya sana huo, unajikuna mpaka unasinzia kwa utamu!!?[emoji15]Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Vidole tu jaman?
🤣🤣 Fala Sana wewe unampatia na mbinu kabisa 🤣🤣Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea