Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Mhhhh! [emoji848][emoji848]Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhh! [emoji848][emoji848]Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
What???????Juujuu,ukizidi unachomeka kidogo tu
Dah we mwanamke 🤣🤣🤣Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Sabuni nisawa na pilipili..eneo hilo haifai kbsa atalia kilio cha yanga.Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Pia anyoe nywele zinazokua kwenye sehemu hiyo kwani zinachangia kwa kuongeza unyevunyevu japo kuna fikra potofu miongoni mwa watu kuwa kuwa na nywele maeneo ndio ushababiPole sana Mkuu!.
Kitaalam kuwashwa sehemu ya haja kubwa (Pruritus ani) husababishwa na sababu kadha wa kadha.
Sababu kuu huwa minyoo. Matumizi ya viungo vingi kwenye chakula pamoja na utumiaji mkubwa wa pilipili huweza pia kusababisha kuwashwa kwa eneo hilo.
Unyevu unyevu sehemu ya haja kubwa inaweza kuchochea kuwashwa kwenye eneo la haja kubwa. Unyevu unyevu huo hukaribisha vijidudu na kupelekea kuwashwa.
Dalili za mwanzo za Bawasiri (Hemorrhoids) pamoja na anal fissures huenda ikasabisha kuwashwa kwenye eneo hilo.
Ufanye nini?
.Nenda hospital ukapime na kuangalia kama una minyoo. Daktari atakuandikia dawa kutokana na aina ya minyoo utakayokuwa nayo.
.Usafi binafsi kuhakikisha eneo hilo linakuwa kavu baada ya kujisaidia. Ukishaosha kwa maji, safisha kwa kitambaa kisafi au wipes nzuri. Nawa mikono yako kabla ya kutawaza. Usioshe kwa sabuni katika eneo hilo.
.Punguza kiwango cha matumizi ya viungo na pilipili kwenye mlo wako.
Endapo hali itaendelea, muone daktari kwa uangalizi zaidi!.
Pole sana.
wewe ulikuwa unatumia dawa gani?Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
nashukuru kiongozi nitajie jina la hiyo dawa niitafutePole,iko dawa moja ntakutumia jina lake ni ya kupaka,ndani ya siku mbili hutasikia muwasho tena...
WeweYaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Tatizo wadau wameenda mbali kimawazo
Kwahyo mwamba hyo avatar ni yakoHabari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
doohHabari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
Kama nikwel unayosema bas nmeanza kuamin kwamba hua mnapata utam tunapokwenda kwa mparange...au sioYaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Naww uliwashwa mkyundu.....Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
wewe ulitumia dawa gani ukapona?Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Wewe kama mimi kwani ni ugonjwa? Mi naona kawaida hebu nipate darasaYaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
kwa bawasiri sidhani maana najisaidia choo cha kawaida tu, na nikijisaidia sipati maumivu yoyote maana mwenye bawasir husikia maumivu.. Mimi nahisi muwasho tu kwa nje pembeni mwa eneo la kutolea haja kubwaMkuu pole hadi umeweka hapa na ushirikiano wakujibu unatoa, pole sana nakushauri nenda hospitali Mkuu pengine ni bawasiri
Hakikisha unakunywa maji yakutosha na kula matunda yenye nyuzi nyuzi kulainisha choo.
Ni ugonjwa mkuu,sanasana minyooWewe kama mimi kwani ni ugonjwa? Mi naona kawaida hebu nipate darasa
Sabuni ya zoazoa ya bukuwewe ulitumia dawa gani ukapona?