Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

Raha ya muwasho upate mkunaji bibi wewe! Ukihisi hali kama hiyo imejirudia tena nakuomba sana unijulishe, nipo tayari kujitolea kwa ajili yako, nitakukuna kiufundi na utapata raha na kuburudika sana sana, niamini hutajuta.
Aiseee
 
Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Daaah aisee,polen Sana muwe mnaenda hospital MADAKTARI TUPO WENGI
 
Hzo ni minyoo,huenda dawa haijazifikia tu,endelea kusubir zaid tatzo litaisha.

Hzo minyoo huwa na tabia ya kisenge sana zinasababsha muwasho kwenye marinda ili ujikune kwa vidole baadae usahau uweke vidole mdomoni ili viendeleze circle life yake,hayo ni mayai yake ndo yanakuwasha,yametagiwa kwenye marinda,kwahyo utajkuna baadae unayaweka mdomon yanaenda kuanguliwa kwenye utumbo mwembamba
Enterobius v.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Ohooooo eniweiii kwa sababu wewe ni Ke sitii neno.
 
nadhani unataka kuwa shoga ndio dalili zake hizo ukiona marinda yanawasha ujue ohooooooo tayari tena
 
Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
Itakuwa unachamba kwa kutumia nguvu Sana au unataka ujisafishe kiasi kusibakie chembe hata ya uchafu, kwaiyo inapelekea kujichuna ngozi ya mkundu,

Kwaiyo pakishakuwa na mchubuko, na ile chumvichumvi ya kule,ikigusa hapo kwenye mchubuko ndio inatokea muwasho Kama mfukuto mkali Sana,,
 
Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
Dah,umetumanisha Wengine aiseee ee, bibie 😘
 
Pia anyoe nywele zinazokua kwenye sehemu hiyo kwani zinachangia kwa kuongeza unyevunyevu japo kuna fikra potofu miongoni mwa watu kuwa kuwa na nywele maeneo ndio ushababi
ahahaha, siwanasemaga inatakiwa vuzi la mk.....ndu lisinyolewe chief
 
ahahaha, siwanasemaga inatakiwa vuzi la mk.....ndu lisinyolewe chief
Linanyolewa tu kama nywele zingine, kwa namna nyingine ni usafi coz nywele za kwapa,vuzi na hizo zingine zinahifadhi jasho linaloleta harufu mbaya uko na demu anashika mic alafu anasikia harufu za ajabu chini ya pumbu
 
Mkuu chukua vitunguu swaumu punje 15 viponde meza kwa muda wa siku 5 utapona kabisa mkuu njoo inbox please
 
Back
Top Bottom