Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nmepga pale syaBulima ya Nassa Magu?
Bila shaka ni mfungua kizibo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji100][emoji28][emoji28]Enzi hizo Boys wa Sangu ilikua title hatari[emoji28][emoji28]!Somebody "Mirambo "holla to you!
Atakaye nionea Lucy Lymo aseme[emoji16].
Inbox ipo wazi. Nimepoteana naye buseko Hill sec 2009
Bila shaka ni mfungua kizibo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji100]
Sidhani kama kuna shule ilijaa watukutu kuliko Tambaza zama zile, pale ilikuwa zaidi ya utukutu kulikuwa na mpaka washika bunduki na komando yosso wasomi... Wazamia meli wengi sana zama hizo walisoma tambaza..hahahaaaa dah siku zinaenda kasi sana mama..
huyu ni marehemu tayarMi namtafuta Perpetua Kisoka, Alisoma Makongo secondary
[emoji2][emoji2][emoji2]aisee hongera sana!!!Mfungua kizibo yuko sauzi[emoji28]! Sijui hajakufa?
Nyoko hahahahahaMohamed Atta.
Muller Mohamed Omar.
Khalid Sheikh Mohamedi.
Abu yahaya Abu libyi.
Ayman Alzawahir.
Hawa tumekaa wote sana pale Torabora na maeneo ya Peshawar..
Kuna harufu ya ukweli hapa.utawapata ndugu usihofu...
Japo njia hii ikishindikana kuna nyingne very simpleeee
tafuta kiki au tafuta pesa zaidi...
Watakupigia tuu...
Watakapo pata namba yako, sio jukumu lako,,
ww tafta pesa
Bilashaka huyu dent tena kiongozi wa wanafunzi atakuwa Maiko Sikupya Iyunga sec. Daaaa! Alikufa mikononi mwa polisi.Hahahah!kuna dent alipigwa na polisi had kudead..nadhan alikua wa Sangu ikatoka had magazetin..nyie mlikua hamfai kbs aisee!
Wajinga nyie tuliwabuluza sana sisi watoto wa Meta Sec SchoolSangu lilikuwa chama la wajanja. Masister du na brothermen wa mjini. Pia wahuni hawakukosena.