Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
Ushauona mwakaTunamshukuru Mungu tumevuka salama na kuingia 2021, tunauombea ukawe mwaka wenye kila heri, tuepushwe na mabalaa yote,Amen.
Ila 2020[emoji848][emoji848] [emoji19]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauona mwakaTunamshukuru Mungu tumevuka salama na kuingia 2021, tunauombea ukawe mwaka wenye kila heri, tuepushwe na mabalaa yote,Amen.
Ila 2020[emoji848][emoji848] [emoji19]
Yes namshukuru Mungu nimeuona mwaka mpya salama! Vipi wewe Babumastone?Ushauona mwaka
Nimeuona pia..mipango ya kesho ipoje kwakoYes namshukuru Mungu nimeuona mwaka mpya salama! Vipi wewe Babumastone?
Aisee sina mpango wowote ntakuwepo home tu! Vipi wewe?Nimeuona pia..mipango ya kesho ipoje kwako
Siwezi kuwa idle lazima nitafute chimboAisee sina mpango wowote ntakuwepo home tu! Vipi wewe?
ANZA NA MUNGU
Ooh haya mi nimeandaa bonge la playlist! Kesho nashinda nacheza tu home😀Siwezi kuwa idle lazima nitafute chimbo
Tunaweza tukafanya kitu kama upo interestedOoh haya mi nimeandaa bonge la playlist! Kesho nashinda nacheza tu home[emoji3]
Kitu gani mkuu🤷♀️
OutKitu gani mkuu[emoji2368]
Asante na kwako pia 2021 ikawe ya mafanikoBandugu,
Heri ya mwaka mpya 2021, Mungu awatunze mfikie malengo yenu.
Kama una povu siyo mbaya ukalimwaga
Stay blessed.
Makamanda njooni mmepewa ruksa ya kujimwaga hukuKama una povu siyo mbaya
Sawa Mkuu kwa hiyo bado unatubagua CCM wapenda hakiKitengo vipande vipande
😂😂 ila nyie vijana wa ufipa kuna wakat hua mnaamua kujitoa fahamu tu.Wanachadema ndio tabaka la raia wanaojielewa kwa sasa Tanzania
Yes babu! Tukutane.......