ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Nimerekebisha. Nia sio kumkwaza mtu yyteKuwa na hekma katika maongezi/uandishi maneno ya kudharau au kudhihaki ustaarabu wa jamii fulani sio uungwana.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kwani IGA kasaini Rais?SGR kasaini Rais?
Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Nakuona unazidi kutapatapa na unazidi kulegea mishale ni mingi sana pole ndio ukubwa mkataba wa uuzaji wa bandari umekushinda kuuteteaNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Kwa mdini" unamaanisha nini?, tuanzie hapo kwanza.Bibi mdini kwenye ubora wako.
Naona unazidi kuchanganyikiwa na bado.
Kwani nini kimeuzwa hapo?...
Vipi kuhusu Ndege unazopanda kila siku?..
Una point ila akili ndogo hawawezi elewaMbona unachanganya machungwa na mananasi? Bi Kinyogoli Mkwere!
Zile ni tenda tunamchagua nani afanye kazi.
Bandari - Ni Funguo ya lango la nchi
wala hatukatai DPW wakabidhiwe, tusahihishe zile terms. Full stop
😂😂😂Kwani IGA kasaini Rais?
Japo unacholinganisha ni tofauti kabisa kwa kila hali (mkataba na uwekezaji), jambo moja litakumbukwa: CCM itafia mikononi mwake kama huo mkataba utatekelezwa jinsi ulivyo. Ukakasi ulioko kwenye huo mkataba utawapa nguvu wapinzani kuiondoa CCM madarakani. Hata fedha ya mafuta ikitumika, kurubuni wapiga kura kupitia wagombea, haitasaidia kuondoa kichechefu cha bandari kugeuzwa lango la Tanzania kutawaliwa tena.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hebu soma tena ujinga ulioandika halafu ujicheke.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Kwani wachina ni wakristo kwaniNakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Unawashwa sanaNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Yaani Dr Slaa angetembea uchi just to make sure kila mtu anaona alivyochukizwa.....Pengo angetoa waraka kama woteNakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
mkataba ungekuwa ni mauziano ya SGR, nawazia tu hiyo IGA yake ingekuwaje? duties zote ni JMT za kujenga na wakimaliza ujenzi waanze kutoza toza kwa muda watakapo jisikia.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Watu hawana shida na mchina. Wana shida na mwarabuKwani wachina ni wakristo kwani
Kuna arguments nilikuona a learned man. Ila unaposhindwa kutenganisha mambo hapo ni questionable. you have to differentiate between “concept“ against garbage, I mean metaphorsNakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Waandishi wasingekauka kwake? Kila siku matamkoYaani Dr Slaa angetembea uchi just to make sure kila mtu anaona alivyochukizwa.....Pengo angetoa waraka kama wote