Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hapa unataka kusema kwamba MAGU nae aliwamilikisha wageni hiyo miradi?
 
Hapa unataka kusema kwamba MAGU nae aliwamilikisha wageni hiyo miradi?
Alimilikisha migodi ya dhahabu na hao hao sasa tunawalipa kupitia kesi walizotufungulia, au umesahau ya Mruma?
 
Nimegundua shida ni Uelewa,hata ingekuwaje watu Kama [mention]FaizaFoxy [/mention] wako wengi Ndio wanasumbua hili taifa.wakipungua hawa tutakua tunajadiliana kidogo tu kwa hoja then Taunasonga mbele.

Kama mpaka leo huyu bibi hajaelewa shida ya ule mkataba wa bandari na Dpw kuwa ni vipengele na sio muwekezaji unafikiri bibi yangu kijijini atasemaje?

Faiza kasoma maandiko mengi sanaa na hajaelewa sasa tutegemee nini kama taifa kwa watu kama dada yangu Faiza.

Sasa nimelelewa kwanini Nyerere aliamua kupitisha Azimio la Vyama vingi licha ya kura ya kuvipinga kuwa zilishinda.
 
Nimegundua shida ni Uelewa,hata ingekuwaje watu Kama [mention]FaizaFoxy [/mention] wako wengi Ndio wanasumbua hili taifa.wakipungua hawa tutakua tunajadiliana kidogo tu kwa hoja then Taunasonga mbele.

Kama mpaka leo huyu bibi hajaelewa shida ya ule mkataba wa bandari na Dpw kuwa ni vipengele na sio muwekezaji unafikiri bibi yangu kijijini atasemaje?

Faiza kasoma maandiko mengi sanaa na hajaelewa sasa tutegemee nini kama taifa kwa watu kama dada yangu Faiza.

Sasa nimelelewa kwanini Nyerere aliamua kupitisha Azimio la Vyama vingi licha ya kura ya kuvipinga kuwa zilishinda.
Haikuwa wakati wa Nyerere, ni Rais Ali Hassan Mwinyi.


Nyerere alivifungia vyama vingi.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Jinga kabisa kama huyu unayemtetea. Wewe ndiyo unatakiwa ujiuliza mbona serikali iliposaini mkataba na watoka nchi za kiislam watu hawakupiga kelele? Huoni kuwa wewe ndiyo unaonekana zuzu? Magufuli aliingia mikataba ya kugawa nchi kama Samia? Mpaka misitu anagawa kwa waarabu?
 
Watu wengine mmetoka kuamka mnaingia JF mnaanza kuandika vitu visivyoeleweka,kwanza wewe mwandishi unajua chimbuko na hivyo vitu ulivyoviongelea?, Je na kama unajua unajua aina za mikataba iliyotumika ..au anyway kesho kanisani uwahi kulala
 
Jinga kabisa kama huyu unayemtetea. Wewe ndiyo unatakiwa ujiuliza mbona serikali iliposaini mkataba na watoka nchi za kiislam watu hawakupiga kelele? Huoni kuwa wewe ndiyo unaonekana zuzu? Magufuli aliingia mikataba ya kugawa nchi kama Samia? Mpaka misitu anagawa kwa waarabu?
Kumbe tatizo lako ni Waislam?
 
Haikuwa wakati wa Nyerere, ni Rais Ali Hassan Mwinyi.


Nyerere alivifungia vyama vingi.

Nyerere alisema wengi wape wachache wasikilizwe,kwenye.Mwinyi hakuwa na say by that time.

Na first election ya Multiparty ilikua kwa Mkapa 95.

Shida dada tumegundua ni uelewa wako.
 
Kwa kweli ingekuwa sio poa. Kama hii issue ya badari hadi imekuwa ni kampeni sasa makanisani na watu wanapewa sumu hadi ngazi ya kaya, eti bandari wamempa mwarabu. Ila ile gesi ya Mtwara, Migodi kule Mara, Geita nk waliyoewa Wazungu wa Barick wala hakuna anayesema wamepewa Wazungu Wakristo. Au SGR angewapa hao waturuki ambao ni waislamu bado pia ingeleta shida kubwa tu. Lakin kwa vile alikuwa ndg yao, wametulia kimnyaaa
 
Na majengo ya chuo Cha TANESCO morogoro yaliyotolewa na rais wa awamu ya tatu kuipa taasisi ya Muslim development inayosimamia Muslim university of morogoro (MUM) Majengo Yale yangetolewa na rais muislamu maaskofu wasingeandika waraka tu (KIPEPERUSHI CHA UDAKU ) Bali wangeandika biblia mpya!.
Kwani kuna mtu kalalamika kuhusu kupewa majengo yale ya tanesco
Mshukuruni pia jpm kwa kuwapigia chapuo ujenzi wa msikiti ule wa bakwata na aliusimamia vyema

Ova
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Ndio ujue kumbe kweli mkataba wa DP WORD una kasoro ingekuwa chuki za kidini pasi misri wangenyimwa tenda
 
Nimegundua shida ni Uelewa,hata ingekuwaje watu Kama [mention]FaizaFoxy [/mention] wako wengi Ndio wanasumbua hili taifa.wakipungua hawa tutakua tunajadiliana kidogo tu kwa hoja then Taunasonga mbele.

Kama mpaka leo huyu bibi hajaelewa shida ya ule mkataba wa bandari na Dpw kuwa ni vipengele na sio muwekezaji unafikiri bibi yangu kijijini atasemaje?

Faiza kasoma maandiko mengi sanaa na hajaelewa sasa tutegemee nini kama taifa kwa watu kama dada yangu Faiza.

Sasa nimelelewa kwanini Nyerere aliamua kupitisha Azimio la Vyama vingi licha ya kura ya kuvipinga kuwa zilishinda.
Hakuna kura zilizopigwa katika kuruhusu vyama vingi.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?

Aisee, wangejichanganya kuingia mtaani wangekipata cha fire...... refer tukio lililotokea morocco la earthquake kuna watu wenye chuki wanaonekana kufurahia tetemeko hilo, cha ajabu hata baadhi ya waislamu wakikomenti upumbavu huo.


Wengi wao hawana dini👇
Screenshot_20230910-002325_Instagram.jpg
Screenshot_20230910-002101_Instagram.jpg

Saudia👆
Screenshot_20230910-001946_Instagram.jpg
Screenshot_20230910-001841_Instagram.jpg
Screenshot_20230910-001759_Instagram.jpg
 
Huo mkataba wa mauziano ni upi na uko wapi?
Unauliza vitu kama vile huna kichwa,? Serikali ya SSH ilisaini ile IGA ya bandari kuuziana mbuzi? Kwann mswada wa kubadilisha sheria ya kulinda raslimali za nchi uliondolewa bungeni baada zile kelele? Tulikuwa tukielekea kukabidhi nchi kwa ndugu zako Waarabu ingawa bado yale makubaliano mengine 30 yaliosainiwa sambamba na hayo ya bandari hayajawekwa wazi, nadhani nayo ni majanga tu.

Hivi unashupalia haya kwasababu ya Uzanzibar wako na aliyetaka kufanya haya ni Mzanzibar mwenzako? au kwasababu aliyetaka kukabidhiwa nchi ni Muislam kama wewe?
 
Alimilikisha migodi ya dhahabu na hao hao sasa tunawalipa kupitia kesi walizotufungulia, au umesahau ya Mruma?
Mwanzoni ulikuwa ukitetea hayo ya akina Mruma na kuwashambulia akina Lissu waliokuwa wakipiga kelele na kuwaita majina ya aina zote, leo umegeuka tena!!!
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Yule kichaa angekuwapo, miradi yote hii ingekuwa imeshakamilika. Unafanya maskhara wewe; hakuna mradi uliokwama chini yake. Alikuwa anajua kusimamia watendaji wake, jambo ambalo mama haliwezi na hivyo kuwapo excuses za kila siku. Makamba kusimamia ujenzi wa bwawa lile ilikilikuwa ni kichekeso cha karne. SGR kusimamiwa na Mbarawa ndiyo basi tena; hawa watu hawakuwamo katika kabineti ya kichaa yule kwani aliwapima na kuwaondoa kutokana na madhaifu yao ambayo mama ameyarudisha na kusababisha uzembe na ucheleweshaji wote pamoja matatizo ya miradi hiyo sasa. Angalia jinsi zile flyovers zilivyojengwa in time; hata terminal 3 iliyokuwa imeshakwama wakati wa Kikwete, alipoisimamia ikakamilika.
 
Back
Top Bottom