Nawaza mateso waliopata watu kwa kutongozana kabla simu hazijaja

Nawaza mateso waliopata watu kwa kutongozana kabla simu hazijaja

hiyo nakumbuka kuna mabinti wawili waliniadhibiwa kisa mmoja kaniandikia barua kaweka kwenye daftari langu alafu takakusanya dah ilikuwa ishu mwalimu akaona


Mbaya zaidi kama Mwalimu naye alipatamani hapo ilipotoka barua
 
Mbaya zaidi kama Mwalimu naye alipatamani hapo ilipotoka barua
kuna mmoja aliitwa n...a alinitaka kwasababu nilikuwa mambo safi akaweka barua mi nikawa sijui, kumbe kuna mwingine anaitwa ja,,,k nilikuwa naonekana kama kutoka naye sasa alikuwa analalamika sana kwamba umuache huyo nimekuonesha hisia zangu hujaona, dah tukakusanya madaftari walimu si wakaona??>??? hatariii
 
m

mkuu usitunyime story hii aisee
huu uzi ungepewa attention maalum kama ule wa wanywa pombe bhana. kukumbushwa those sweet days of ours...! wapi tena ningekumbuka haya mambo. watoto wa siku hizi hawakutani na heka heka za kukanyaga. miiba, vifutu, kukutana na fisi, mbwa mwitu au wazee wa kazi ukiwa umetoka. kufanya doria la kujitolea au tuote uwindaji wa kile nafsi imenuia ukipate.

mbaya zaidi umuwinde miezi 4 kisha akukate mchana kweupee, ebana eeeh.

ngoja smartphones zije wanamalizana whatsap, insta, sijui fb au text tu kwa gharama ya bando. za 500, saivi wangeishia kukamtwa uzururaji.
 
huu uzi ungepewa attention maalum kama ule wa wanywa pombe bhana. kukumbushwa those sweet days of ours...! wapi tena ningekumbuka haya mambo. watoto wa siku hizi hawakutani na heka heka za kukanyaga. miiba, vifutu, kukutana na fisi, mbwa mwitu au wazee wa kazi ukiwa umetoka. kufanya doria la kujitolea au tuote uwindaji wa kile nafsi imenuia ukipate.

mbaya zaidi umuwinde miezi 4 kisha akukate mchana kweupee, ebana eeeh.

ngoja smartphones zije wanamalizana whatsap, insta, sijui fb au text tu kwa gharama ya bando. za 500, saivi wangeishia kukamtwa uzururaji.
Haha kabisa mi nakumbuka sana nimeteswa sana
 
Back
Top Bottom