cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Za landline zilikuwepo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetembea sana kutafta mademKipindi cha nyuma 1985-2000 simu zilikuwa nadra sana,
Lakin pamoja na uchache wa simu, watu walitia maneno mpaka wenza wao wakawaelewa,
Kwa wale wa juzi juzi mmerahisishiwa kazi sana,
Mtu kipindi hicho anakaa Tabata anamfuatilia msichana wa makumbusho bila hata simu, inabidi apande gari akashuke mwenge atembee mpaka bamaga kwakuwa anahisi msichana yule atapita maeneo yale kama siku alivyomuona akipita nyuma,
Na anamkosa, anaamua kurudi home, kesho yake anatia kambi tena lakin hafanikiwi, hii ilileta hamasa kwamba hata akimpata maneno ni hapo hapo,
Watu wameng'atwa sana na Mbu wakiwasubiri kina Mwajuma wapite njia fulani kisa wameona anapita asubuhi,
Watu wameshinda mtoni wakiwasubiri akina hilda ili wapate nafasi ya kutema yao
Watu wameteseka mno,
Siku hizi wanaume hata kutongoza imekuwa shida neno linalotangulia ni NAOMBA NAMBA YAKE HIYO DADA,
hawana uwezo tena wa kumface mwana mke kumtemea cheche live,
Siku hizi wamerahisishiwa sana , mwanamke akikunyima namba ya simu unamuomba basi anayotumia tigo pesa haha anaachia mara moja
Lakin hizo sisi wa namanyere hatukuwa nazoZa landline zilikuwepo..
Mi nimewai pewa adhabu ya kuchimbia kksimaShuleni tulikuwa tunaandika barua tunaiweka katikati ya daftari ya binti, wengi walipata misukosuko kwani baadhi ya mabinti waliozembea barua zilinaswa na walimu na wengine zilidondoka njiani bila wao kujua
Kabisaaaaaatuliteseka sana tunashukuru simu zimekuja ila kwa sasa pesa inaongea pesa inatongoza
Mariamu yuko wapi sasa mkuuTuliteseka kwel Mariam wang alinifanya ninga’twe na mbu vichochoron,ooh we acha tyu uvumilivu ndo kila kitu...
Sent using Jamii Forums mobile app
We hukutongozwaaa? Au mdogo hujui
We utakuwa mbakaji weweLakini cha muhimu nyapu ipatikane haijarishi unatumia njia gani....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana hiyo , high risk with high returnShuleni tulikuwa tunaandika barua tunaiweka katikati ya daftari ya binti, wengi walipata misukosuko kwani baadhi ya mabinti waliozembea barua zilinaswa na walimu na wengine zilidondoka njiani bila wao kujua
We utakuwa mtoto wa juzi tuMbona ilikua simple
Unachora moyo unaotobolewa na mkuki na vijimaneno vichache unakua umemaliza shughuli.
Siku hzi ni mwendo wa mizinga tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Za siku hizi kweli kuvunjika rahusNdiyo hata kuvunjika mahusiano ni rahisi sana hakuna msoto ndani ya moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hata muhusika mtu unamuogopa unatetemeka sanaNilikuwa naandika barua.ila kumfikishia muhusika ndo mtihani namba moja.
Na nikifanikiwa kumpa hyo barua.mtihani mwingine kuulizia majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin hao wa pesa hawadumutuliteseka sana tunashukuru simu zimekuja ila kwa sasa pesa inaongea pesa inatongoza
Thubutu upite mbele yangu nachanganya mpaka michezo ya amber rutiSiku hizi wanaume hakuna, wote tunajipanga nao foleni kununua chips mayai, wanaume wanasafisha kucha saloon doh, wanaume wanawekwa Heleni,
For sure this is true
Siku ya bwana uliitakasa vema mkuuEee mkuu....mi nakumbuka kuna mmoja nilikuwaga kila Jumapili naenda kumsubiri njia anayopita anavotoka kanisani
Wengine hatukuwa nazo bibiZa landline zilikuwepo..
Pole.sanaNimetembea sana kutafta madem
Hizo hazikuwapoLakin hizo sisi wa namanyere hatukuwa nazo