jannelle
JF-Expert Member
- Feb 8, 2020
- 824
- 1,581
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣 OSHEEWNgoja nikuwekee ushauri hapa
View attachment 3203497
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 OSHEEWNgoja nikuwekee ushauri hapa
View attachment 3203497
Huyo achana nae anapenda miyeyusho sana 😀Sawa, naweza kuwa si mwandishi mzuri bt take it kama stori tu
Sa mbona unapokea vitu vyao bila mpango?😂 Khee sasa ndio nini kuuza/kugawa utu bila mipango 🚮
🤣Sasa wewe wakomeshe lala nao bila kuwaomba hela
Umemaliza mkuu nilikuwa nataka nimpe huu ushauri umeniwahiNgoja nikuwekee ushauri hapa
View attachment 3203497
Uzi na ufungwe. Kama hataelewa hapa basiNgoja nikuwekee ushauri hapa
View attachment 3203497
Basi subiri kuliwa na wote. Hiyo ndo principleSi ndio AIM ya andiko hili kipenzi
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Ndio wewe kwenye avatar, tuonane ili nikushauriSawa bwana