Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

Wewe ni fara,Zina na mjinga.Bwege mkubwa wewe
 
Nakaziaaaaaaaa!!
 
Miaka 10 yote??
Yani kaazurura hukoooooo ukute yamemshinda ndio analeta pmbu zake kwako!
Au amejua ulikufa ukaoza kwake anakutest tu awe anapiga aliko na kwako!
Shtuka mamy ! Bomu hilo!
 
kuna vitu sijataka kuvidisclose na baada ya hayo mambo niliyafukia moyoni msione watu jf wastaarab msione nje ya jf ni wapuuz watu wazima hawana akili
Hii imeenda!!
Achana nae hafaii huyoo!!

BTW
welcome back!! tunafurahi kukuona tena mamy!
 
Njoo kwangu
 
Jamaniii hawa member wa zamani si wanasema ya mwanzo jf ilikuwa haina vijana wa hovyo imekuwaje tena 😁😁😁😁
🀠🀠🀠🀠🀠!
 
Ni bora useme "baadhi ya wanaume" sio wote wana hayo matabia.
 
Kuna watu jukwaani huwa wanajifanya wastaarabu na wakongwe ila ukiambiwa ni wa hovyo unashindwa kuamini 😁😁
🀣🀣🀣🀣🀣🀠🀠🀠🀠🀠🀠!

Ndio ivo dear humu kuna wanajifanya kondoo kumbe mbwa mwitu!!
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀠🀠🀠🀠🀠🀠!

Ndio ivo dear humu wanajifanya kondoo kumbe mbea mwitu!!
Mm nafikir Hao ndo wakuogopwa kuliko Hawa kina mzabzabπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Njoo PM nikusaidie kitu
 
DahπŸ€”πŸ€”πŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ˜€πŸ˜€, Aaliyyah Ume like kwa kopa - kumaanisha nini πŸ€”πŸ˜€πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…