Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mhhh Labda uni tetee bro, maana huyu majarabibi wangu Aaliyyah mgumuπͺπͺπAkupe tu
Achaa hizooo, nipeeeeπππNipo hapa photoshootπ
Bwana weee Watakupenda nduguzo π€ !Watu wa mioyo ya upendo Jamani π
Njoo tutapeliane majarabibi wanguπππ€Utapeliπ
Sasa unanishauri nini apo nisipende tnπNi kweli muhimu ukishafanya Kosa kudate na mtu na hakukuthamini lifanye kuwa Kosa lako la mwisho hakuna second chance hapo ni Kuishi maishayako no matter ilikuumiza nenda kalilie mbele maisha yaendelee
hivivijembe unamtupia nani?Anaejifanya hakuoni jifanye humjui!
Hakuna kubembelezaa!
Oyaaa Niki kushika, UTA jutaaπππTulia kwanza tuna kikao ππ
ππππSijui unachoomba kwake kwanza nawezaje kukuteteaMhhh Labda uni tetee bro, maana huyu majarabibi wangu Aaliyyah mgumuπͺπͺπ
Kabisa kulia Lia ni udhaifu Mkubwa wanaume hawana huruma kias hiko ni kwenda nao sawaBwana weee Watakupenda nduguzo π€ !
Kaomba selfieππππSijui unachoomba kwake kwanza nawezaje kukutetea
Mwanaume mpka unione nmedondosha chozi ujue nimeumia pakubwa Mungu tusimamieKabisa kulia Lia ni udhaifu Mkubwa wanaume hawana huruma kias hiko ni kwenda nao sawa
Aaaaah kumbe selfie mpe tu πKaomba selfie
Penda tu jamaniSasa unanishauri nini apo nisipende tnπ
Nianzie kwako au ππPenda tu jamani
Mimi sikuhiz ninaroho ngumu sana hata sifai kupendwa πNianzie kwako au ππ
Huko pm na whatsaap kumewaka πππWenye wapenzi wenyu humu wanaoanzia na D π€ π€ π€ π€ !!
Tutakua tumekutana wote kua na roho ngumu kama mwamba wa baharini hivyo ata penzi Lita taradadi tuMimi sikuhiz ninaroho ngumu sana hata sifai kupendwa π
ππππKuna habari gn unawapaWenye wapenzi wenyu humu wanaoanzia na D π€ π€ π€ π€ !!