Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kuna habari gn unawapa
Mlengwa si jina lake linaanzia na D hapo lazima waulizane kama Kwemaaa 🀠🀠🀠!!!

Jf πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Mmekiwasha
Nani weeee shkamoo jf πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ!
 
Sasa waacheni wayajenge ametuletea huu Uzi kwa ajili ya niniπŸ˜‚
 
Aisee, hebu weka ID yake hapa tumchane live aache mambo ya hovyo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mbn sio busara wewe shika jembe kalime chief
Kama alitaka iwe siri angemfata PM amchene, sasa amakuja kushtaki kwetu wanajamvi inabidi tumsaidie kumchana mwamba aache mambo ya hovyo😁😁
 
Acha bandari iuzwe tu..

Kuna types of these human!? 🀣🀣🀣🀣
 
Kama alitaka iwe siri angemfata PM amchene, sasa amakuja kushtaki kwetu wanajamvi inabidi tumsaidie kumchana mwamba aache mambo ya hovyo😁😁
Ukute mwamba alichanganya madesa humu auweeee🀠🀠🀠🀠
 
Kumbe wanaume wa humu wako hivyo na hovyo?Ala!Japo najua sio wote.Lakini sasa To yeye to your age bado wanakupa shida kuwajua?
 
Hasira hukaa kifuani kwa wapumbavu,kuna muda umeruhusiwa kukasirika lakini isizidi kile Biblia inasema kabla jua kuzama.Kwanini ni muhimu kusamehe ni kwa faida yako sio ya huyo aliyekuumiza.
Jifunze kusema nimesamehe hata kama umaona ni ngumu.
Kuhusu kumpa nafasi nyingine kama wewe ni mcha Mungu kuna signal za wazi naada ya kusamehe na kuondoa uchungu utazipata kama yes or no more na maisha yataendelea.Epuka hisia kwenye mamuzi yako may cost you again.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…