Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

Aaah wapi! Tena nahisi zamani walikulana kuliko sasa hivi maana walikuwa wanavurugana humu jukwaani balaa🀣🀣🀣

Walipangwa hadi sio poa.
Hukuwa mmoja wa waliokuwa wanavurugana?🀣
Kuna mtu niliwahi mwambia kuwa hizo "good old days" watu walichapana balaa.
 
Hukuwa mmoja wa waliokuwa wanavurugana?🀣
Kuna mtu niliwahi mwambia kuwa hizo "good old days" watu walichapana balaa.

Mimi sio mkongwe 🀣🀣🀣

Na walitifuana sana jukwaani.
 
Mimi sio mkongwe 🀣🀣🀣

Na walitifuana sana jukwaani.
Uko na 10+yrs humu, hizo mambo zilitisha sana kipindi hicho. Sema ukweli tumshinde shetty🀣🀣
 
dah pole sana aise,
sio vizuri kabisa alichofanya jamaa, nichek inbo tuone namna ya kufanya, we will start with God, I hope linaisha hilo pole sana...
 
Miaka 10 bado mnatujazia threads?
Si mtoto angekuwa anamaliza shule ya msingi ?
I wanted to ask the same question, 10 good years na bado hana mtu! Haja move on, yaani ni kama alikua anamngojea mwamba arudi.

Ni maajabu.
 
kilichonifanya niumie yan the way mtu aanakubwaga bila sababu of course najua hanistahili hata hivo nimebeba ushaur wako
Sababu zipo ila silazima uambiwe. Halafu huwezi mchagulia mtu muda wa kukusamehe. Yaani kukosea ukosee wewe halafu unichukie mimi kwakutokukusamehe huo si utoto huo. Ukiharibu umeharibu huna haja ya kujitetea.
 
Naomba nikwambie ukweli huu mchungu Mwanaume hawezi kumuacha Mwanamke anayempenda kirahisi hawezi huyo wako hakuwahi kukupenda hata sasa alivyorudi.
Nakataa, namimi ni mwanaume. Yaani ufanye makosa useme kwasababu nakupenda basi siwezi kukuacha, labda kama sijapewa moyo wa nyama na nafsi. Wasioweza ni kijana ambaye bado hajakuwa na kuona mapenzi ni kila kitu wakati kuna maisha zaidi ya hayo.
 
sasa ndio huyo d et akanuna baba zima na ndevu zake kaa mbuzi maisha haya
Tatizo bado hamjifunzi, mipaka inawekwa ili iheshimiwe, wewe kwako ni madogo lakini kwake ni makubwa ila sijui kwanini mnapenda kuchukulia vitu for granted hasa kwaupande wetu wanaume. Ndio maana hata kuoa sikuizi mtu anaona ni upuuzi, everything is mind games to you. Bado hujajifunza na still unaliona hilo kosa dogo[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukiwa na msimamo haki huwezi kuishi na mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…