Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Dah bro 🤓Jamaa ana mguu wa tembo. Kaharibu njia haipitiki sasa.
Mawazo ya kishetani haya aisee🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah bro 🤓Jamaa ana mguu wa tembo. Kaharibu njia haipitiki sasa.
Mawazo ya kishetani haya aisee🤣🤣
Kazi ipoooo.Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]
🤣🤣🤣🙌Kumbe ndo maana ulipotea mama facebook
hahahah we umeshindikna kwakweli.Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote 😏
🤣🤣Tunachoka🤒hahahah we umeshindikna kwakweli.
D hakufai hakukupenda huo ndio ukweli na umekasirika kwa sababu bado unampenda.
Sisi wengine sijui hatujawahi kupenda ama maana mimi ukinizingua kupata tu mawasiliano na mimi hata ya kunijulia hali ni shughuli na brock mpaka Ukoo sitaki mazoea ya kijinga tena🤨
... and leave the gutters to rectify themselves.Plumbers laying pipe [emoji23]
Skia badili gear angani nichukue mimi naitwaga pia dege john a.k.a D john
Kibaya zaidi kaishi muda wote huo akiwa anamsubiria, nmesema anamsubiria kwa sababu bado ana hasira na kinyongo, kambeba miaka yote hiyo hatimaye D amerudi.ASipokubali hii basi tena
tena wewe unyamaze wewe ndio sababu ya yote haya au unataka nikukumbushe ukichokifanya, kaa mbaliMiaka 10 bado mnatujazia threads?
Si mtoto angekuwa anamaliza shule ya msingi ?
kilichonifanya niumie yan the way mtu aanakubwaga bila sababu of course najua hanistahili hata hivo nimebeba ushaur wakoKibaya zaidi kaishi muda wote huo akiwa anamsubiria, nmesema anamsubiria kwa sababu bado ana hasira na kinyongo, kambeba miaka yote hiyo hatimaye D amerudi.
Katika kipindi anapaswa kuwa makini kimaamuzi ni hiki vinginevyo ajitoe muhanga liwalo na liwe ili auridhishe moyo.
hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote 😏
Bila sababu? Sababu ipo ni kuwa hakukupenda mama ila hii huwa ni ngumu kuipokea hasa kwa mtu ambae unampendakilichonifanya niumie yan the way mtu aanakubwaga bila sababu of course najua hanistahili hata hivo nimebeba ushaur wako
Hata kama hukukutana nae kimwili bali uliwekeza hisia zako kwake ndio maana zimekutesa kwa miaka 10 ukimsubiri.hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?