Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Nakupendaga bure tu we mubinti
 
Ilipaswa umkatae siku ile ile alipokuomba masuala hayo ya kifirauni, ila kumuendekeza ndio imekuwa nongwa sasa

Kumuacha sawa utaweza ila funga ila aina ya mawasiliano nae, maana visingizio vyake huyo ni kutaka aendelee kupata ufirauni wake hivyo usiangalie nyuma sepa usigeuke!!,

kuna watu video zao zilivuja hizo zako nahisi cha mtoto ila wakakaza buti na kusonga mbele

Cha msingi mrudie Yesu, achana na hiyo dhambi na hakikisha hata utakaempata huko mbeleni usimfundishe huo ufirauni, maana waswazi wanasema Jasiri huwa haachi Asili

Isije siku kijana wa watu anajikuta kapelekwa kwa mpalange🤣
 

Sijaelewa uliposema upambane kiume we n mwanaume??
 
Naona ushauri mwingi ni wa kumkimbia huyo mwamba, hivi mnajua wanaume wanaojua kuganda kama luba...

Sasa ndo huyo mwamba, atamfuata popote alipo...
mwanaume anakugandaje kama Luba kwa mfano, sema tu labda bado na wewe una chembe za upendo ndani yako,naamini moyo ukisema STOP hata ugande vipi haiwezi kubadilika.
 
Ni hatari sana kumtishia mtu unayelala naye kitanda kimoja awe mwanamme au mwanamke.Anaweza kukufanya chochote hata kama wewe ni mbabe kiasi gani!
Huyo ni shetani .Kuachana naye lazima upigane mpaka ummalize.Solution hapo ,"muweke sumu kwenye chakula afe au mkodishie majambazi kwa kutumia pesa zake mwenyewe,wamkate u.u.me au wamfanye hanithi,bila yeye kujua kwamba unahusika".
 
Naona ushauri mwingi ni wa kumkimbia huyo mwamba, hivi mnajua wanaume wanaojua kuganda kama luba...

Sasa ndo huyo mwamba, atamfuata popote alipo...
Kwa hiyo akikuganda kama ruba hapo hapo wakati una mkataa utakuwa unaendelea kumpa nyuma?
Wangapi wanawaganda na mnawalia vyao na kuwakimbia? Shida mnakuwa hamna msimamo mnapima upepo tuu!

Kwani akiendelea kukusumbua si anapoteza muda wake bure yeye? Au mtu akikuganda kama ruba basi anapewa zawadi ya kukugand?
Mtu kama humtaki humtaki tuu hata atumie mbinu gani atachoka lakini ukijirahisisha kisa kakuganda lazima uingiliwe kinyume na maumbile na huwa mnapenda wenyewe sio kwamba mnashitukizwa au kulazimishwa mnapenda!
 
huyu kuacha ni uongooo wenye shuhuda wanakwambia ngumu mnoo kuacha huyu hapa anaweza fatwa pm na memba akaendeleza game
 
Kupambana naye kiume? Kivipi yani?
 
Katoe iyo mitako mikubwa ya mloganzila atabadilika mwenyew hatatamani tena uo ufuska

Hivi nia yenu ya kuwa na makalio makubwa ni nini hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…