Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Lakini hiko ukiingia unakopa na pesa mpk million 100 kawaida. Ila kukuingiza ndio utasubiri. Kila mwisho wa mwaka tunapeanaga pesa za sikukuu kila mmoja anakunja m 2 za kuku. Hizo zinakuwa faida tu.Sema cha matajiri bwana, mtu mwenye biashara ya mtaji w milioni tano kushuka chini kwake si changamoto sana.