Lakini hiko ukiingia unakopa na pesa mpk million 100 kawaida. Ila kukuingiza ndio utasubiri. Kila mwisho wa mwaka tunapeanaga pesa za sikukuu kila mmoja anakunja m 2 za kuku. Hizo zinakuwa faida tu.Sema cha matajiri bwana, mtu mwenye biashara ya mtaji w milioni tano kushuka chini kwake si changamoto sana.
🙄🙄 kikundi kina miradi gani? Mpo vizuriLakini hiko ukiingia unakopa na pesa mpk million 100 kawaida. Ila kukuingiza ndio utasubiri. Kila mwisho wa mwaka tunapeanaga pesa za sikukuu kila mmoja anakunja m 2 za kuku. Hizo zinakuwa faida tu.
Walao wakina mama wako na groups zinazowanyanyua kwa namna moja ama nyingine tofauti na wanaume, sisi tumeshazoea kupabana wenywe japo tunafanikiwa kwa jasho na dmu nyingi lakini kungekwa na groups kama kwa wenzetu walao tungepungukiwa ugumu wa kufanikiwa, wazo la mleta mada ni nzuri liangaliwe kwa jicho la kipekeeMi nina kikundi kimoja cha kanisani cha wamama cha kusaidiana
Kwa kweli ni kizuri ni kama kikoba ila hakijakaa hivyo
Tunakutana mara moja kwa mwezi
Kina benefits nyingi sana
Mim sasa hivi nataka cha wafanya biashara sema nini uaminifu ndo naogopa
Haswa kikihusisha ela
Unamjua panda source?
Walizumianaga almost mil90
Wakamlipa lipa akaja akabaki anadai mil 90
Cha wafanya biashara wa china hicho
Kawachangia wenzie akawa wa mwisho kuja mzunguko wake wa mwisho hawataki kutoa ela mtu alikua anakunja 90M
Ni vizuri na ni kizuri sana, kina usajili wowote labda ili kama ikitokea sintofahamu kuna sehemu mnaweza kwenda kupata msaada wa kisheriLakini hiko ukiingia unakopa na pesa mpk million 100 kawaida. Ila kukuingiza ndio utasubiri. Kila mwisho wa mwaka tunapeanaga pesa za sikukuu kila mmoja anakunja m 2 za kuku. Hizo zinakuwa faida tu.
Sure kwetu wanaume ni ngumu mno, walao kwenu, sisi na magroup si marafiki kabisa ikizingatiwa muda wetu sio rafiki sanaHivi mara nyingi kazini/mtaani/ link kutoka kwa marafiki
Wafanyabiashara wanaweka na kukopa🙄🙄 kikundi kina miradi gani? Mpo vizuri
Kina usajili na kina acc ya bank ila kina ukabila, kimejaa wakinga.Ni vizuri na ni kizuri sana, kina usajili wowote labda ili kama ikitokea sintofahamu kuna sehemu mnaweza kwenda kupata msaada wa kisheri
Kwanini iwe ngumu? Si mnajiorganize hapo kazini….Sure kwetu wanaume ni ngumu mno, walao kwenu, sisi na magroup si marafiki kabisa ikizingatiwa muda wetu sio rafiki sana
Wanaume haya maswala wengi wazinguaji, hiki cha kazini wanaume walifutiliwa mbali wakopaji wazuri halafu hawalipi.Sure kwetu wanaume ni ngumu mno, walao kwenu, sisi na magroup si marafiki kabisa ikizingatiwa muda wetu sio rafiki sana
HatareDoh pole zake, uaminifu ni changamoto.
Maisha bila kafara utasubiri sanaMkuu siku hicho kikundi kikianza uniunge nami natamani kuwa na watu wanaojielewa, lakini kisiwiwe kile cha kutoa makafara.
Sana ukuwepo hicho kikundi?Mimi hivyo napendaga niwe wa kwanza sitaki utani na pesa kabisaaa!!!
Masai bana 🤣🤣🤣Sana ukuwepo hicho kikundi?
Cha kina ladies choice
Ni hatari kuhusisha familia kwenye hayo mabrotherhoodIli brotherhood iwe imara, iwe tu na waanaume pekee, wanawake kuchafua hali ya hewa ni dakika chache sana.....
Ikishakua imara, wake zenu nao mnawakutanisha wanakua na ka umoja kao pia inapendeza.
Acha kutisha wenzio, hizo nadharia tu 😂😂Maisha bila kafara utasubiri sana
Hatari yake ni nini???Ni hatari kuhusisha familia kwenye hayo mabrotherhood
Dah yule dada walimrudisha nyuma loohMasai bana 🤣🤣🤣
Mimi nipo cha wakinga wenzangu hiko alikuwepo shost angu Manka
Kwa kizazi Cha Sasa kinaenda kuharibika na maadili yanashuka sana hasa kwenye masuala ya uzinzi lakini kama mmekutana wote mnamaadili yanayofanana sio mbayaHatari yake ni nini???
Kuna brotherhood huwa ina family day once per year, kila mtu anakuja na mke na watoto woteeee.
Ina zaidi ya miaka 10 sasa hebu nipe hasara zake nikatoe ushauri ivunjwe.