Nawezaje kuanzisha Men Brotherhood? Kikundi cha wanaume cha kujengana?

Hapo sawa nilijua ushawaza mambo ya sangoma
 
Wazo zuri , watu mkiungana huwa mnakuwa na momentum kuliko kuwa mmoja mmoja.

In life, when you need to get on top collaboration matter most.
 
Mshirikisheni pia Pdiddy ili kuwe na tija.
 
Nasubiri link ya whatsap ili nijoin
 
Naomba nafasi ya uhasibu kwenye hiko kikundi kama kitaanzishwa!!
 
Ila wafanya biashara asilimia kubwa sio waaminifu
Imagne kimchina uwe nae kikoba
Kimchina hamna mtu pale yule ni jambazi 🤣🤣🤣
Ila amejiharibia na kapoteza wateja ambao baadae atawatafuta hatowapata tena. Pesa zina muda zikikimbia na wateja wakikukimbia hakuna rangi ataacha kuona.!!
 
Utakimbizwa.
Utaambiwa una element za wale wengine.
 
Bongo kama sio pombe hakuna cha maana kitachoweza kukutanisha wanaume.
 
Kimchina hamna mtu pale yule ni jambazi 🤣🤣🤣
Ila amejiharibia na kapoteza wateja ambao baadae atawatafuta hatowapata tena. Pesa zina muda zikikimbia na wateja wakikukimbia hakuna rangi ataacha kuona.!!
Yule dada amefingua ofisi china juzi
Yaani ana ujasiri alafu ni mwizi wa wazi wazi
Inahuzunisha
 
Yule dada amefingua ofisi china juzi
Yaani ana ujasiri alafu ni mwizi wa wazi wazi
Inahuzunisha
Kashajiharibia haitofanya vizuri labda km ataendelea na biashara nyingine anayofanyaga ya pembeni
 
au unataka uanze kuwa anko knowledge kama P.didy wa united state of america
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…