KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Alooooooooooo.Una akili za kitoto
mbona makasiriko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alooooooooooo.Una akili za kitoto
Afiche kipi na matatizo yanatuumiza wazi wazi bila kujificha..Mwenzake anazingatia matumizi ya Fasihi
Ney yeye kafunguka wazi wazi kabisa
Sio shabiki wa magufuli na hajawahi kumkubali, hata magufuli alimuimba sanaHakuna jipya ameimba ni sawa tuu na wanao ongea kwenye majukwaa.
Huyo ni mshabiki wa Mwendazake hana jipya
Akazane kuimbaSio shabiki wa magufuli na hajawahi kumkubali, hata magufuli alimuimba sana
Haumjui Ney aiseeeeHakuna jipya ameimba ni sawa tuu na wanao ongea kwenye majukwaa.
Huyo ni mshabiki wa Mwendazake hana jipya
Unaweza usisitetewe na wanadamu Ukatetewa na Mungu mwenyewe.Alikuwa anatumia lugha laini saizi anajifanya jasiri atafinywa kama Roma na WA kumtetea hayupo
Sawa tuu kama Mungu alikutuka atakuteteaUnaweza usisitetewe na wanadamu Ukatetewa na Mungu mwenyewe.
Kwani maoni ya Ney na wanasiasa na wananchi wengi ni yapi? Nadhani tofauti ni njia ya uwasilishaji tu, yeye ametumia mashairi.likuwa anatumia lugha laini saizi anajifanya jasiri atafinywa kama Roma na WA kumtetea hayupo
Ndio atakuwa charged na lugha ya uwasilishaji sio njiaKwani maoni ya Ney na wanasiasa na wananchi wengi ni yapi? Nadhani tofauti ni njia ya uwasilishaji tu, yeye ametumia mashairi.
kwamba anaweza ambiwa arudie wimbo ila abadilishe lugha/maneno alitumia kufikisha ujembe?Ndio atakuwa charged na lugha ya uwasilishaji
Ww nichawa wamama kwaio tulia huyu ney alimchana mwendazake kipind hiko hakuna boya aliesubutu kujikuna mbele yakeHakuna jipya ameimba ni sawa tuu na wanao ongea kwenye majukwaa.
Huyo ni mshabiki wa Mwendazake hana jipya
Kwaiyo nyimbo za ney wa mitego zinakufaliji ebu acheni uzwazwa fanya kaz tafta
Pesa lea familia yako
Siasa na wanasiasa ayo ni maisha yao ney wa mitego ni msanii usanii wake ndo unamuweka mjini anatengeneza ngoma anapiga pesa ww unaleta habari za kufalijika
Usifananishe kanisa na takatakaNguvu yetu CCM ipo kwenye kujisahihisha.Tumeanza kujisahihisha kuanzia jana kupitia tamko la hekima la Makamu mwenyekiti wetu Mhe.Kinana.
CCM ni kama Kanisa Katoliki ambapo likikosea mwelekeo huwa linajisahihisha haraka.
Na hili ndo kosa alilolifanya linalosababisha BASATA waanze kumfikiriaAloooooooooo
wote ni wanaharakati wazuri.
roma mafumbo mengi na inahitaji akili mingi kumuelewa mistari yake.
ney yeye anayamwaga hadharani hata mtoto wa darasa la pili anaelewa kilochoimbwa.
Mkuu kwa nchi hii bado sanaAfiche kipi na matatizo yanatuumiza wazi wazi bila kujificha..
Hatoacha kuimbaAkazane kuimba