Nay wa Mitego na Ukweli mchungu dhidi ya serikali ya Rais Samia na CCM yao
Ney wa mitego - Amkeni


Ikikupendeza Mungu chukua na hawa
 
Kwaiyo nyimbo za ney wa mitego zinakufaliji ebu acheni uzwazwa fanya kaz tafta
Pesa lea familia yako

Siasa na wanasiasa ayo ni maisha yao ney wa mitego ni msanii usanii wake ndo unamuweka mjini anatengeneza ngoma anapiga pesa ww unaleta habari za kufalijika

Mkuu mbona kama umepaniki povu linakutoka?

Jifunze kuheshimu mawazo na hisia za wengine
 
Nay sio mchoyo wa kutoa mawazo yake.

Ila ni muhimu kujua unaowasemea kama wako tayri kukusemea/kukutetea.

Vita na serikali ni ngumu sana.
 
Nguvu yetu CCM ipo kwenye kujisahihisha.Tumeanza kujisahihisha kuanzia jana kupitia tamko la hekima la Makamu mwenyekiti wetu Mhe.Kinana.
CCM ni kama Kanisa Katoliki ambapo likikosea mwelekeo huwa linajisahihisha haraka.
Usifananishe kanisa na takataka
 
Aloooooooooo
wote ni wanaharakati wazuri.
roma mafumbo mengi na inahitaji akili mingi kumuelewa mistari yake.
ney yeye anayamwaga hadharani hata mtoto wa darasa la pili anaelewa kilochoimbwa.
Na hili ndo kosa alilolifanya linalosababisha BASATA waanze kumfikiria
Angetumia fasihi kama ROMA isingeleta shida
 
Back
Top Bottom