Hahaha aise 'Muulize kwanza je hiyo ni moja ya fantasy zake? Maana sio kila mtu ni mlevi wa ngonoTumfanye awe huru kama sisi, tumfanye ajione kama sisi. Abishe, atukane, na yeye kama vipi weekend hii apatiwe mtoto mzuri mwenye shep ya birika aone dunia ni sehem sahihi kwake.
Indeed!
Kwahakika anahitaj msaada wa Hali ,kiroho na mali.We kaka unaishi wapi? Nipe namba yako ya simu kama unahitaji msaada wa mawazo. Tatizo lako dogo sana na limekwisha mpaka hapo, wala hauhitaji kuuamia kiasi hicho. Kuna watu wana majanga makubwa kuliko wewe na bado hawajamlaumu Mungu.
Meeen! your such a good boy gaadm it... a month sijamnyoa mtu vuuu not me! bro kaburini hakuna pussy we zubaa tu.
Mkuu kwa experience yangu ndogo.Hearing aid hazina lolote hata mashuleni viziwi wenyewe mashuleni huwa hawapendi kuzitumia.labda Kama zipo ambazo zipo more advanced.Very touching! Jaribu tena kwenda hospitali siku hizi kuna 'hearing aid kit', vifaa fulani unafungwa sikioni vinasaidia sana na niliwahi kusikia kama vinatolewa bure. Usikate tamaa, bado kuna ambao hawana miguu wala mikono na wanaishi, mshukuru Mungu bado upo hai na jiamini, ukijiamini wewe tu inatosha, usitake watu wengine wakuamini! Bado njia ipo na haya yote siku moja yatabaki kuwa historia!
Mashavu msaidie mtoto
Mkuu ni mitihani ya imani tu hiyo na unaonekana unaishindwa ila tambua kila binadamu ana changamoto.