Duh..had nimesisimka...kwann sasa alikubali mfunge ndoa..maskini..ss ndoa ukaahirisha au??huyo naye ana damu ya umalaya...duh...jamani...wengine tùkishapata mimba hata salam ya babako mzaz unatapika..ht salam huwez kumsalimia mwanaume mwingine yyt yule..uwiii..watu wana guts mbaya...pole sana mpendwa
Hapana sikufunga nae ndoa , nlipitia wakati mgumu sana sio kidogo
Maana ilkua bahati tu kujua , na yeye akanambia kweli kwamba anampenda mtu mwingine na mambo mengine
Nakumbuka nlilia kifuani mwa mama kama mtoto mdogo , kwa kweli nliumia can ....
Do something like that to me , i was confused , ni miaka mingi imepita
Maana nkawa siwezi kufanya chochote , everytime najiuliza why , why why lusyelly why ?! , kwa nini unifanyie hivi , she was my ph classmate late back miaka ya zaman sana before going iyunga tech
Ikabidi niondoke kabisa tz , na hilo mzee alifanikisha Maana , nlkonda nlidhoofu kinyama ani , dah yule mwanamke nlimpenda from my heart
Nlifika huko , nliapa kitu kimoja kusoma kwa juhudi , kadri nnavyoweza kutochezea tena maisha yangu , kujiweka mbali na wanawake kadri nnavyoweza
Lakini ghafla ndo akatokea mama theodore [emoji28]
Eeh tunapendana ila nshamwambia mi akinizingua sitowaza mara mbili yaani nampiga chini fasta [emoji28][emoji28]