Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Really!!!!Nadhani hapa anahitaji kupata Faraja kuliko hilo neno ulilomtamkia.... Jaribu kuwa yeye ungejisikiaje? Tuwe na Ubinadamu kidogo...


Anahitaji sana faraja..kuna siku alinipigia kwa line nyingne alafu siku hyo nilikua stressed sana na mishe zangi..nakumbuka nilipokea simu nikawa sielew anaongea nn...alikua anavuta sana maneno..nikakata..akaja niambia had kuongra kwasasa ni kma nabadilika...dah pale niliumia..niliumia mno mno..kumbe bwana kunaingiliana kati ya masikio na uongeaji!....

Point iliyopo.na anayohitaj anataka aondoke alipo akae sehem nyingjne atafte kazi yyt ile...ss binafsi sehem nilipo kuna kelele masaa24...machine zinaunguruma..kutamvuruga zaidi
 
Ameen
Hujafa hujaumbika,jambo la msingi mwamini Mungu huwa anafanya vya kushangaza zaidi endelea kuwa na imani hiyo ipo siku ya mwanadamu na marafiki zako kumshangaa Mungu
 
Nilitamani kukuunganisha na MTU akusaidie lakini umenivunja moyo kumtamka Mungu kwa lugha utumiayo na kulaumu wazazi wako kiasi hiko
Sikh ukijua Mungu hakosei na wazazi in baraka yako utatubu na kuwaomba wazazi msamaha na ndio utakua mwanzo was mausha yakk kubadilika

Hapana....ametingwa akili yake..msaidie jaman huo amani na faraja yy akiwa mtu kati ya watu?
 
miguu ya kuku, Nilimwambia mchangiaji mmoja hapo juu kuhusiana na hearing aid.Nazifahamu hearing aid to some extent, ila binafsi hearing aid hazisaidii watu wengi na sio kila kiziwi anaweza kuwa beneficiary wa hizo mambo.

Ili uwe ufanikiwe kwenye hearing aid ni lazima hearing loss yako iwe appropriate kiasi kwamba inaweza ku cope na hizo aid.Kuna wengine wakitumia hearing aid huwa wanasikia sauti kubwa kupita kiasi, kiasi kwamba huwa zinawaumiza masikio.

Wewe una "word deafness" ambao ni ukiziwi unaotokana na matatizo ya mfumo wa fahamu.Japo sikio lako ni zima

Accept the condition you will be cured.

Nina experience ndogo kwenye haya masuala.Kwa kukudokeza tu bachelor yangu ya kwanza ilikuwa ya special education specialization ya hearing impairment.Ualimu wa viziwi ni mojawapo Kati ya profession nilizonazo.
 
Ni bora usiwe unaandika...jaman hb mtu aanze tu kuandika haya ..mtoa mada muda huu mie nachat naye wasap...ana hali mbaya sana ww unasema chai...jaman shukuruni kwa kupewa uhai na pumzi na Muumba wenu!huyu mtoto ana shida..namfaham karibia mwez wa 2 sasa...!jaribu kuheshimu hisia zake...!
Mpe pole sana

Natamani na mimi nimsaidie ila ....

Fanya hivyo kwa niaba yangu ..
 
Hongera na pole pia
Aah Asante na pia nashukuru

Siku tatu kabla ya ndoa unajua mtu alkua anakucheat muda wote huo , tangu teenager age yenu , hata mtoto aliyekwambia ni wake tumboni sio wako tena !

Ni hard experience , mtu mliyefight juu chini mfanikiwe wote wawili , kuna muda hadi nlkua omba omba , nusurika kubakwa etc etc mengi sana
Baadae anabadilika ...


Eeh yalipita lakini , yalipita nkampata mwingine alyenipa theodore

Ila hayakupita kirahisi !
 
Baba Swalehe,

Duh..had nimesisimka...kwann sasa alikubali mfunge ndoa..maskini..ss ndoa ukaahirisha au??huyo naye ana damu ya umalaya...duh...jamani...wengine tùkishapata mimba hata salam ya babako mzaz unatapika..ht salam huwez kumsalimia mwanaume mwingine yyt yule..uwiii..watu wana guts mbaya...pole sana mpendwa
 
Aisee[emoji24][emoji24][emoji24]
Nataka nikuambie Jambo,
Jaribu halikumpata mtu isipokuwa lile ambalo Ni la kawaida ya mwanadamu. Ila Mungu Ni mwaminifu hatakuacha ujaribiwe kupita uwezo wako, ataufanya mlango uweze kustahimili,,hivyo vumilia utashinda .
 
Dah ....

Nshawahi pitia hii hali , but i made it !

It was hard indeed !
Ujue Baba Swalehe Kuna watu wengi wana pitia hiyo hali, ila kwa nchi Kama Tanzania utapambana na hali yako tu.

Mimi nilishawahi kuwa depressed sawasawa na @Maiti.Nilishajaribu hadi kujiua.Siku ambayo nilijua Bongo kwenye haya mambo bado kabisa, Ni siku ambayo nilienda hospitali ya mirembe Dodoma kipindi hicho nasoma UDOM nikiamini pale Kuna mental illness proffesion wanaweza kunisaidia. Nilimkuta nesi mmoja nikamueleza shida yangu before sijakutana na doctor.

Alichonijibu niliona bora nirudi hostel, nilishangaa kuona mtu anayefanya kazi hospitali Kama ile, anatoaje majibu Kama yale kwa mtu mwenye psychological disorders.

All in all serikali lazima itilie mkazo tiba ya haya matatizo ya kisaikolojia.Stress ni ugonjwa mbaya kuliko magonjwa yote.
 
Duh..had nimesisimka...kwann sasa alikubali mfunge ndoa..maskini..ss ndoa ukaahirisha au??huyo naye ana damu ya umalaya...duh...jamani...wengine tùkishapata mimba hata salam ya babako mzaz unatapika..ht salam huwez kumsalimia mwanaume mwingine yyt yule..uwiii..watu wana guts mbaya...pole sana mpendwa
Hapana sikufunga nae ndoa , nlipitia wakati mgumu sana sio kidogo

Maana ilkua bahati tu kujua , na yeye akanambia kweli kwamba anampenda mtu mwingine na mambo mengine

Nakumbuka nlilia kifuani mwa mama kama mtoto mdogo , kwa kweli nliumia can ....
Do something like that to me , i was confused , ni miaka mingi imepita

Maana nkawa siwezi kufanya chochote , everytime najiuliza why , why why lusyelly why ?! , kwa nini unifanyie hivi , she was my ph classmate late back miaka ya zaman sana before going iyunga tech

Ikabidi niondoke kabisa tz , na hilo mzee alifanikisha Maana , nlkonda nlidhoofu kinyama ani , dah yule mwanamke nlimpenda from my heart

Nlifika huko , nliapa kitu kimoja kusoma kwa juhudi , kadri nnavyoweza kutochezea tena maisha yangu , kujiweka mbali na wanawake kadri nnavyoweza

Lakini ghafla ndo akatokea mama theodore [emoji28]

Eeh tunapendana ila nshamwambia mi akinizingua sitowaza mara mbili yaani nampiga chini fasta [emoji28][emoji28]
 
Baba Swalehe,


Duh..sema mm sipogo kwenye groups za ph..niliona utoto sana..pole sana ..jamani..hv ni kweli,?yaan akuambia nampenda mtu mwingine??hv kumbe huwa yapo? ameolewa sasa? umenihuzunisha maskini uliposema ulilia kufuani kwa Mama.

nimetoka machoz kwakwel hyo sentensi...!..aisee...mwambie wifi asikufake jamani...mie katika kitu maishan mwangu nineshindwa ni kufake! nipo real mno had nakosea kbs saa zingine...!best umepata la kuhadithia uzeeni...so umeoa?
 
Back
Top Bottom