Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Really!!!!Nadhani hapa anahitaji kupata Faraja kuliko hilo neno ulilomtamkia.... Jaribu kuwa yeye ungejisikiaje? Tuwe na Ubinadamu kidogo...
Nilitamani kukuunganisha na MTU akusaidie lakini umenivunja moyo kumtamka Mungu kwa lugha utumiayo na kulaumu wazazi wako kiasi hiko
Sikh ukijua Mungu hakosei na wazazi in baraka yako utatubu na kuwaomba wazazi msamaha na ndio utakua mwanzo was mausha yakk kubadilika
Teh...mimi comment yenye paragraph mbili tu ni mtihani kuiandika
Dah ....
Nshawahi pitia hii hali , but i made it !
It was hard indeed !
Mpe pole sanaNi bora usiwe unaandika...jaman hb mtu aanze tu kuandika haya ..mtoa mada muda huu mie nachat naye wasap...ana hali mbaya sana ww unasema chai...jaman shukuruni kwa kupewa uhai na pumzi na Muumba wenu!huyu mtoto ana shida..namfaham karibia mwez wa 2 sasa...!jaribu kuheshimu hisia zake...!
Mpe pole sana
Natamani na mimi nimsaidie ila ....
Fanya hivyo kwa niaba yangu ..
Aah Asante na pia nashukuruHongera na pole pia
Ujue Baba Swalehe Kuna watu wengi wana pitia hiyo hali, ila kwa nchi Kama Tanzania utapambana na hali yako tu.Dah ....
Nshawahi pitia hii hali , but i made it !
It was hard indeed !
Hapana sikufunga nae ndoa , nlipitia wakati mgumu sana sio kidogoDuh..had nimesisimka...kwann sasa alikubali mfunge ndoa..maskini..ss ndoa ukaahirisha au??huyo naye ana damu ya umalaya...duh...jamani...wengine tùkishapata mimba hata salam ya babako mzaz unatapika..ht salam huwez kumsalimia mwanaume mwingine yyt yule..uwiii..watu wana guts mbaya...pole sana mpendwa