Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nashukuru sana, siwezi elezea kiasi gani nashukuru laki tambua nashukuru sana.

Vile vile nasukuru zaidi kwa ushauri na nasaha zako stay blessed.

NAPENDA KUIAMBIA JAMII YA WANAJF KWAMBA,

NIMEFARIJIKA SANA KWA KUJALI, NAJISIKIA KUFARIJIKA MNO, WAKATI MWINGINE KUWEKA WAZI MATATIZO YETU NI KUJIPUNGUZIA MZIGO WA HUZUNI NA MAHANGAIKO YA NAFSI.

KUPITIA MANENO YENU NA JUMBE ZENU NAAMINI KWAMBA SOTE TU WAMOJA SOTE TUMESIKITIKA NA KUHUZUNIKA PAMOJA NA TUTAKUWA PAMOJA PIA.

INGAWAJE NI SAFARI YA KUCHOSHA KUMALIZA WARAKA MREFU SANA NILIOUANDIKA NINA KILA SABABU YA KUWASHUKURU WALIOACHA SHUGHULI ZAO NA KUUFUATILIA HATA TUKAUMALIZA.

NAPENDA KUSISITIZA KWAMBA YOTE YALIYOANDIKWA KATIKA WARAKA HUU NI YA KWELI, HAKUNA PAIPOTIWA CHUMVI KWA MINAJILI YA KUMHADAA YEYOTE YULE.

KUNA MEMBER WENGI SANA WANAOAMINIKA HAPA JAMVINI MMOJAWAPO NI manengelo, HAKIKA NIKIMUELEZEA DADA HUYU NITAKUWA NIMEMPUNJA SANA KWANI ANA MOYO WA KIPEKEE.

POPOTE AWAPO, KAZINI, AMECHOKA, AMETINGWA NA MAJUKUMU N. K HAKUACHA KUNIPA MOYO HATA SIKU MOJA.

ANANIFAHAMU MIMI BINAFSI, MAISHA YANGU NA FAMILIA YANGU PIA, AMEKUWA AKINISAIDIA KWA KILA KIDOGO APATACHO MUNGU AMBARIKI SANA.

KUPITIA YEYE NAOMBA KUAMINIKA NA KWA KILA MWENYE SHAKA JUU YANGU ANAWEZA KUNIFAHAMU ZAIDI KUPITIA DADA HUYU.

BINAFSI NATAMANI SANA SOTE TUWE WAMOJA KATIKA HILI TUWEZE KUSAIDIANA KAIKA KUNIKWAMUA KIJANA WENU, KIJANA MWENZENU KWA CHOCHOTE, KWA LOLOTE AMBALO MUNGU AMEKUPA UWEZO NALO.

NARUDIA TENA NATAMANI KUISHI KUISHI MAISHA YA KAWAIDA, KWA KUWA NA KAZI/BIASHARA CHOCHOTE KILICHO NDANI YAKO NA MUNGU AKUZIDISHIE ILI KUNIKOMBOA NA MAISHA DHALILI KWA MIAKA 20 SASA.

MUNGU NI MWEMA NA AWABARIKI SANA.

ROBIN. Vladimirovich Putin,
 
Thank you, you have a reason to thank God, only ears have ruined my everything bro,i have lost my everthing, am just trying to collect it agan.
Duuuh.....every organ is important in our bodies..... I couldn't have imagined that ears could have brought u such a tragedy.....am sorry for you.
 
Usijli, ni mkristo, roman catholic.

Katika kuhangaika nilipitia makanisa mengi ya kiroho hatakwa kakobe.

Mawazo na kukata tamaa hatimaye nikajikuta nikirudia roman
POLE SANA! Lakini kama hujatambua tatizo limeanzia katika ulimwengu wa roho ndiyo maana limekupa shida mda wote huu. Samahani kama nitakukwaza lakini naomba unijibu hili swali wewe ni dini gani?
 
miguu ya kuku, Mkuu pole sana

Lakini kwa tatizo lako la kusikia sijui kwa jini uliamua kusoma ualimu na hyo CBA maana ni ngumu sana kufundisha au kuajiliwa.

Hapo ungestukaga mapema ukasoma zako mambo ya ufundi(Veta) sahizi usingehangaika na ajira hizi
 
Kwa wanajamiiforums mlioko mtwara kutananeni na huyu mtu. Kama ni kweli tumuanzishie fund. 1 akakomboe cheti, akajifunze elimu maalum aweza kuwa mwalimu wa watu wenye ulemavu wa masikio. 2. Maxence take charge.
 
Mkuu hili ni simuluzi la kweli ama ni Kiburudisho tu....!!

Nb: Sikuulizi kwa kejeli ndugu...
 
CBA nilijuaga ndo napata elimu ya kusimamia biashara mara nitakapokua mjasiriamali pakuna mambo ya sheria humo ilavngne useless......

Ualimu ni msukumo wa moyo, shida nilizopata shuleni zi. Inisukuma kutaka kuwa faraja kwa wnafunzi wenye challenge, i wished kuwa mwanaharakati.

Kufundisha am good teacher bro, very interestig, namudu vilivyo and students likes my way f speacking, charmng and care.... My BTP was conducted according to the regular ruquirement for any other teacher and nilifanya vizuri kuliko wengine 96% on my BTP

Am proud o myself, i hope nikiinuka mimi watafuatia wengine, thank you kwa mawazo
Mkuu pole sana

Lakini kwa tatizo lako la kusikia sijui kwa jini uliamua kusoma ualimu na hyo CBA maana ni ngumu sana kufundisha au kuajiliwa

Hapo ungestukaga mapema ukasoma zako mambo ya ufundi(Veta) sahizi usingehangaika na ajira hizi
 
Asante sana, kuna wakati mwingine nilishirikisha mod but hakuwa interested hakuwahi kjibu ujumbe zangu.

Asante sana barikiwa sana
Kwa wanajamiiforums mlioko mtwara kutananeni na huyu mtu. Kama ni kweli tumuanzishie fund. 1 akakomboe cheti, akajifunze elimu maalum aweza kuwa mwalimu wa watu wenye ulemavu wa masikio. 2. Maxence take charge.
 
usisikitike sana bro, me mwenzio nimepoteza mama kitambo kidogo, mzee nimetoka kumzika mwezi wa 4 hapo. hakuna ndugu wa kunisaidia, nimeshaandika sana tu kama wewe hivi but ndo hvyo no body care. heri yako umemaliza certificate, me niliishia semester ya kwanza. you can imagine how miserable life i live. so usihuzunike huna viatu bro
Kwa sasa hana uwezo, he did mistake, then umri wangu kumlilia baba asie na hata uwezo wa kununua malafin ya 3000 nitakuwa sahihi eba?
 
Usijali iddy, tunaambiwa tuwe wavumilivu.

Kupoteza wazazi kiukweli naupa pole sana kaka najisikia vibaya kwa hili.
usisikitike sana bro, me mwenzio nimepoteza mama kitambo kidogo, mzee nimetoka kumzika mwezi wa 4 hapo. hakuna ndugu wa kunisaidia, nimeshaandika sana tu kama wewe hivi but ndo hvyo no body care. heri yako umemaliza certificate, me niliishia semester ya kwanza. you can imagine how miserable life i live. so usihuzunike huna viatu bro
 
Are you sure? Is that all my praise?

.ahsante sana kwa kunipa sifa... By the way kuna mtu amewahi kniambia hivyo... Nikaamua kuandika simulizi inaitwa FAILI NAMBA 25, ipo humu Jf ipo sehemu ya 5 nashukuru maoni ni mazuri.

Mahangaiko ya nafsi na moyo, mawazo na changamoto za maisha zimenifanya nishindwe kuendelea kuiandika, inahitaji utulivu na mood sana kuandika simulizj.

Unaweza ipitia ukanipa feedback, ushauri na mawazo
Very well narrated..unakipaji zaidi ya Musiba (alitafsiri Nick Carter's) na Hammie Rajab.
 
miguu ya kuku,
Simulizi iliyoandikwa na mtu mwenye kipaji utaijua pale ambapo utakapogusa mstari wa kwanza huwezi kuiacha kuisoma hadi mwisho. Sina sababu ya kukuvisha kilemba cha ukoka. Nitasoma simulizi uliyoniambia kwamba uliiandika. Najiandaa kufurahia andiko lako
 
Back
Top Bottom