Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi wako umenifanya nmelia sana kwasababu mimi pia nina tatizo kama lako na limenitokea ukubwani manyanyaso shuleni yalinitokea hivyo hivyo.Pole sana tusikate tamaa naamini ipo siku mungu atasikia kilio chetu na tutakuwa na furaha kama wenzetu
Asante sanaNaweza kuyasikia maumivu yako, hakika unaumia sana, kauli yako umeitoa kwa hisia sana.
Naelewa na nakuelewa, karibu PM
Mkuu pole sana.Honestly nikiambiwa nipelekwe nje ya nchi kwa matibabu, nitasema hapana, nitahitaji hiyo pesa ya matibabu kuyajenga maisha yangu yaliyobaki.
HahahaAmekuambia anahitaji mtaji we unamwambia msaada wa kimawazo, muwe mnasoma basi. Idiot.
Kikubwa tengeneza furaha yako mwenyewe!nipo kama wewe mkuu, andiko lako limeniliza. but why unamlaumu MUNGU wakat bado upo hai?,
Robin jamani. Mara ya mwisho alinicheck WhatsApp kama mwezi au week 3.
Apumzike kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app