Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,484
Amani sina kabisa toka ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani sina kabisa toka ndani
Muombe Roho mtakatifu akupe amani.Amani sina kabisa toka ndani
Ameen ndugu yangu, ila nimepata somo yahitaji kufuatilia kitu kwa umakini sana bila kupuuzaMuombe Roho mtakatifu akupe amani.
Muombe,akae ndani yako
Yeye hutoa amani tele.
Usijihukumu, Mungu wetu anatoa rehema bure[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweliAmeen ndugu yangu, ila nimepata somo yahitaji kufuatilia kitu kwa umakini sana bila kupuuza
Maandishi yanaumiza mno, Pumzika mpendwa sote njia moja.kitabadilika na kubaki kuwa historia.. Naumia sana. Ee Mola kwanini uliacha iwe
Yanatoa machozi kabisaMaandishi yanaumiza mno, Pumzika mpendwa sote njia moja.
Dunia mapitoYanatoa machozi kabisa
Kabisa kuna mambo tunahitaji kujifunza au tunahitaji kuwa wasikivu pale anapotokea mtu anatafuta msaada maana hujui nini kimemsibuDunia mapito
Kuna wakati tunaweka matatizo yetu pembeni na kumshukuru Mungu.Kabisa kuna mambo tunahitaji kujifunza au tunahitaji kuwa wasikivu pale anapotokea mtu anatafuta msaada maana hujui nini kimemsibu
Dah.... hongera na pole sana mama.Amen love. Naamini ananibariki tu!..leo moyo wangu unauma!...huyu dogo had saa8usk anakutxt..anakuambia mama sijala toka jana natetemeka ...jamani !...nashukuru sijawah muignore hata siku moja!yaani ningekuwa nimewaza mbali zaidi huyu ningemshawishi hubby tuishi naye tu mradi kuishi naye! Kilikua kilio chake daily mama nisaidie nitoke hapa nyumbani😭😭😭😭
Mi mwenyewe nimeshangaaKIziwi anaadhibiwaje kiholela namna hiyo?
Hata mimi nimefanya hivyo ila ni kimya tuNimeisha fanya hivyo inbox lkn mpk Sasa hakuna jibu..