Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Inauma sana dadangu, Napitia maisha kama yako
Hili tatizo linaathiri mtu kihisia na kijamii. Usikate tamaa plzz kua na Imani juu yako, chukulia hili tatzo kama Changamoto ya kimaisha then find a way to be happy in whatever state you are...... Life isn’t fair to everyone here!!!!!!
 
Hili tatizo linaathiri mtu kihisia na kijamii. Usikate tamaa plzz kua na Imani juu yako, chukulia hili tatzo kama Changamoto ya kimaisha then find a way to be happy in whatever state you are...... Life isn’t fair to everyone here!!!!!!
Thank you sister,
Hili tatizo linaathiri mtu kihisia na kijamii. Usikate tamaa plzz kua na Imani juu yako, chukulia hili tatzo kama Changamoto ya kimaisha then find a way to be happy in whatever state you are...... Life isn’t fair to everyone here!!!!!!
Asante sister. Tunadharauliwa sana yani, lets prove them wrong
 
Hii Ni story ya pili kuacha ya faru dwas.

Yan unafeeel kabisa.

Ndugu wamemtenga

Marafiki

Classmate

Dc

Wanajf

Wote walimtenga.

Kujiua Ni Jambo baya halaf ukijumuisha na magumu aliopitia it is a heart touching story.


Mwenyezimungu amueke pale panapomstahiki.
 
Kama mwana jf yoyote, nimeguswa na story na kusikia jamaa amejiua. Nahisi na nina imani kuna sehemu hatujatimiza majukumu yetu vizuri. Tumeweka kejeri na masihara mbele sana, na maisha yetu yamekuwa tukiyachea kwa kudharauliwa kwa kujikweza.

Ila hatujachelewa sababu lazima maisha yaendelee na hili liwe kama fundisho kwetu. Niwaombe ma moderator wetu wawe ndio organizers wa watu wenye shida ambao wanahitaji msaada, wazichunguze habari zao na kupitia kwao watuaminishe ili tuwasaidie.

Hayo ni yangu ila kama kuna mtu anawazo bora zaidi alilete ili tusaidiane.😢😢😢😭😭😭
 
Mbarikiwe watu na majibu yenu
IMG_20200226_132401_895.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini laiti kama nigeona hii msg mapema labda ningeweza kumsaidia kidogo kupunguza maumivu ya kudhihakiwa, kudharauliwa, kutothaminiwa na kukosa upendo kutoka kwa jamii iliyomzunguka.. Lkn nasikitika kuona kuwa nimechelewa..

Pumzika kwa Amani mdogo wangu umeondoka mapema huku ukionja machungu kutoka kwa watu uliowaamini.

Kila atakayesoma ujumbe wa kaka yetu huyu basi ajifunze kutomdhalilisha binadamu mwenzio, kuheshimu utu wa binadamu mwenzio, usitumie ukilema wake kumyanyasa nao... Mpe heshima yake km binadamu mwenzio, msaidie km unaweza na km huwezi mwambie ukweli...
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napitia uzi naona Tanzia
Sikuwahi kumjua huyu
Dah
Hatimae azma yake ya kujiua imetimia
Dunia hii!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kipindi akiandika nyuz hizo alikuwa akielezea uhalisia lakini kilicho kuwa kikitokea ni kuwa watu walihisi labda anaigiza yale alio kuwa akiyaandika.

Kwa hivo jamamii ilio mzunguuka ili mtenga akaona ni bora ahamie jamii forum labda anaweza pata msaada hata wakimawazo, napo pia anakutana na vichwa vilivo jaa dharau na kebehi.

Kwa hivo alivo ona hakuna thamani ya utu wake bila shaka ndio kachukua uamzi mgumu.[emoji26][emoji26][emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za leo!

Nimefurahi na kufarijika sana kwa hakika nina matumaini ya kuishi na nina sababu ya kuishi.

Nimeweza kupata marafiki wapya kwa uchache na naamini watazidi kuongezekaZaidi.

Vilevile siwezi ficha masikitiko yangu, nasikitika pia kwa kuuona mwamko na mguso wa mioyo ya walio wengi ukipotea mithili ya chozi la samaki baharini.

Niliamini kwamba nitaona mabadiliko ya mioyo ya watu, ubinadamu na upendo wa dhahiri katika kuniunga mkono, lakini haijawa hivyo na sina haki ya kulaumu yeyote yule.

Mwisho nimejifunza pia kuwa dunia hii imejaa machozi,kuna watu huishi katika dunia ya peke yao na najisikia huruma juu yao,natamani ningeliwasaidia hata kama si kwa chakula basi hata kulia ningelia nao.

Baraka nyingi ziwe juu yenu nyote.

Ahsante.

ROBIN.
[emoji848] Bila shaka hii coment ilikuwa ni ya mwisho kwako Innalilah wa innalilah rajuon.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom