Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Yawezekana nakujua. Umeishi Kimanga? Ila muhimu sasa kuanza mazoezi haswa ili kuukakamaza mwili. Pia pendelea kunyoa kipara na ndevu at least hadi ufike 55+
 
Tatizo lako inaonekana umeanza punyeto ukiwa bado mtoto sana na bado haujaacha....Fanya mazoezi acha pombe kula mbogamboga matunda achana na wanawake au kupiga punyeto ovyo.
mzee green eeh!!,alaf umesahau ki2 kimoja,,,mwambie anywe pombe ya mnazi,,,,,,,alaf aache tabia ya kwenda kuloga wenzake,na apunguze wivu kwa wafanyakazi wenzake!!
 
kunywa maji mengi.
 
Utajongea tu kwenye huu umri na ww.
wala usitukane karibu sana. Au na ww kwako umri umeganda kama wa wema sepetu manake yule toka 2018 mpaka leo bado ana miaka 29
Nimetukana wapi???
Ni hivyo nani kakuambia nagandisha??
 
Dunia ibinuke
Ndo nioge maji ya baridi asubuhi
Kama huwezi yabaridi kabisa basi changanya na yamoto kdg kutoa ubaridi tu lakini yasiwe yamoto. na ikiwezekana usoni na kwa bibi Depal tumia maji ya baridi, yale ya bombani. kwa uso kama inawezeka tumia ya baridi hasa yalowekwa kwenye friji. uso wako kila siku utaonekana wa kijana
 
Hizo tips zimwage hapa hadharani na sisi tujifunze
Mkuu, unakumbuka story ya Elisha na Naaman ktk Agano la Kale?

Elisha alimwaambia Naaman kuwa atapona ukoma akienda kupiga mbizi mara saba ktk mto Yordan. Mto huo hadhi yake ya usafi haina tofauti na mto Msimbazi au mto Ng'ombe unaokatiza Mwananyamala.

Nakupa simple tips hapa, fuata link hii hapa Thread 'Miujiza kuhusu Therapy ya bamia' Miujiza kuhusu Therapy ya bamia


Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…