Naoga maji moto dailytafuta pesa
punguza ngono,
punguza mawazo,
kunywa maji mengi,
pata muda mrefu wakupumzika (kulala),
oga maji ya moto ata kama ni jua kali.
Kula mlo kamili siyo kula kula.
Asante.
Tafriri ya lizee haileti picha nzuri.Hakuna namna,Ushazeeka hivyo,
40yrs mbona lizee, unafosi uonekane una 20yrs!!!
Imeisha hiyo[emoji419]
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Anajua kuwaenyesha[emoji16]Sasa huyo ndio anawazeesha wengine kwa kutumikiwa
Zimeishaje ?Kuna kipindi nilikuwaga na mastress nilikuwa na mvi kichwa kizima,lkn now sina mvi hata moja.
Sasa kwani unaweza irudidisha hiyo miaka yako kuwa 25yrs[emoji16]Duh!
Haipendez mtoto mkali kuwa na kauli za hivyo
Nina 59 kwasasa.Kwani una miaka 50 na ngapi?
Jirani Mungu ni mwema[emoji1317]Hujambo jirani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu mm mwanzoni nlidhani mvi zangu ni za ukoo ila nlivyoanza kuona Hadi vuzi linabadilika nkajiuliza mtoto wangu nikifika 45 ataniitaje?
Ukimkuta kainamia lile sinki la kuoshea kichwa saluni utamshangaa.Kwamba ni mcc[emoji3],
Mbona mzee wa msogo bado kama kijana wa jana[emoji3]
Nilisema ndio na ninasema tena achana na maji ya moto ...
Ninaishi na wakulima wala hawazeeki kama watu wa maofisi na wamama wa nyumbani ila wanapauka tu. Watumishi wananawiri tu ila kuzeeka kuko pale pale.Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Pono na punyeto vina zeeshaje mwili?Mkiambiwa muache mapunyeto huko ujanani mnakaza mafuvu. Madhara yake ndiyo haya sasa. Hakuna kitu kinachozeesha haraka kama mapunyeto...ukishavuka 35 tu hoi mgongo unakuuma, kumbukumbu hakuna, mwili legelege, uchovu 24/7, ngozi kukunguwaa, kukosa motivation, kulala lala hovyo; na matatizo mengine kibao.
Acha pono na punyeto...kula sana matunda na mboga, fanya mazoezi, maji kwa wingi....utakuwa OK.
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Mkuu bora ww mimi at 30's nina mvi balaa kichwani hadi kero yaani.
Nilivyokaa sawa nazo ziliisha,sina mvi kwasasa, maana stress zilinyoosha,Zimeishaje ?
Gray hair sio uzee. Kuna kundi la wazungu wana gray hair ola zimezoeleka tu.Mkuu bora ww mimi at 30's nina mvi balaa kichwani hadi kero yaani.