Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?


Fanya mazoezi mkuu
 
Kuka matunda na mboga mboga, epuka nyama wanyama kama mbuzi, kula sana samaki,maziwa soda yako iwe youghort,kunywa chai yenye limao, fanya mazoezi kidogo tafuta dam ya universal donor yani group O negative uwekewe punguza ngono
 
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Ninaishi na wakulima wala hawazeeki kama watu wa maofisi na wamama wa nyumbani ila wanapauka tu. Watumishi wananawiri tu ila kuzeeka kuko pale pale.
Vitambi obesity, kisykari, presha vyote vinawazeesha white colar job.
 
Pono na punyeto vina zeeshaje mwili?

Je vipi mtu aliye na mke na wanasex kila mara?

Au mtu anaye fanya ngono kila mara?

Huyu ana utofauti upi na mpiga nyeto?

Maana wote wana toa protini ileile mwilini.
 

Fanya mazoezi, acha kula wali
 
Punguza vya kula vya wanga
Punguza nyama nyekundu
Punguza vitu vya sukari
Punguza kulala mchana
Acha pombe
Acha soda
Acha joice
Acha wali
Acha ngono
Acha kuchek movie au series kwa muda mrefu
Acha kucheza game muda mrefu
Pendelea fanya mazoezi kidogo
Pendelea mboga za majani
Pendelea bidhaa za bahari
Pendelea matunda
Pendelea vya nyuzi ( tende ,viazi vitamu nk
Pendelea kipaka mafuta ya nazi
Pendelea kula kabla ya saa mbili usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…